cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Siyo Jf, hata ukienda insta hali ni hiyo hawafai, ukienda X hawafai pia ukirudi Facebook ndo walewale kwakifupi mitandao imewafanya wanawake wengi wawe na tabia moja kama mtindo wao wa maisha mwanamke kukutamkia anaenda kudanga siyo ajabu tena, kwahiyo kumeharibika hadi mtaani maana haohao wa mtaani ndo watumiaji wa mitandao hiyoUle upepo uliisha baada ya kuutambua huu ukweli ila kabla ya hapo hawakujua huu ukweli ambao watu walikua hawausemi wakikutana nao
Ndiyo mkuuKwa hiyo umelala na wadada wengi wa jf kama sehemu ya research yako?
NAKAZIAKupendana kupitia muandiko, kisha kutongozana pm. Usitume hela chonde chonde hakikisha mnakutana kwanza, ni rahisi Sana kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Tuzingatie value for money wadau
Hakuna mwanamke wa kijijini na mwanamke wa JF. Hakuna mwanamke wa JF na mwanamke wa mtaani. Wanawake wa JF wanatoka maeneo hayo yote i.e. vijijini na mitaani.Mnadanganywa akili za kuambiwa changanya na zako mkuu. Tafuta mke mtaani kwenu au kijijini kwenu
mwenye afro mbona ni mie ? toa afro weka uwalaza, kisha toa huyo wa kulia
Lete majibu ya hiyo research yako, kwanza useme dhumuni lilikuwa nini na uligundua nini baada ya research yako kukamilika, sample space ilikuwa ngapi...tuone ulifaidi kiasi gani!!Ndiyo mkuu
Hili ndio jibu sahihiAu ndio ile anakuja na sababu za kiutapeli.
Kwa hiyo kutafuta na kuwa na mtu toka mtandaoni ni ukosefu wa akili?Mwanaume mwenye akili timamu unatafuta mwanamke wa kuoa mtandaoni, utakuwa fala la kufungia mwaka. Hawa wa mtandaoni watafute ukiwa na ugwadu tangaza dau piga shoo pita hivi. Hii internet ilitakiwa iwafungue watu akili ila matokeo yake imetengeneza mazombi ya kidijitali, yaani unatafuta mke mtandaoni we ni FALA BOYA na unastahili kupigwa na kitu chenye ncha butu.
Mtandaoni mwanamke akikubali kudate huyo ni malaya muuzaji tu, kuliko kutumia bando lako vibaya ni bora ungeshuka pale Sinza Manzese, Temeke au Tabata ukutane nao face 2 face.
Waliopo Jf na wanakubali kudate ndo hao wapo tinder, ndo wapo telegram, ndo wapo kwa madanguro, ndo wapo bar na kumbi zote za starehe.
1. UtapeliHuwa sielewi inakuwaje Me kujifanya Ke, yaani afungue ID yenye mrengo wa kike, atambulike kama Ke....
....huyu kitaalam kabisa anaweza kuitwaje? Au ndio ile anakuja na sababu za kiutapeli.
Sasa huoni kuwa kuna kundi kubwa la wanaume wapumbavu mkuu?Hili ndio jibu sahihi
Huwa unafanya nini/hatua gani kujiridhisha kuwa mtu unayetegemea kumeet naye ndio sahihi?PM ni kuchukua namba na kukutana nae live, nilio kutana nao ni wakike na nimefagia wengi ana kwa ana katika kukamilisha utafiti wangu.
Nipo hapa kuwaambia vijana Jf hakuna mke huku wapo wauzaji
Hapana hata mimi huwa sina nguvu ya kumkataa demu akinifata mwenyewe ila huwa nikionja tu ndo baadae naanza kujutia kwanini nilikubaliNiliyemjibu ni wa kiume,, usirukie kwoti kama hujaelewa inavyoenda enda.
Una nguvu wewe za kukataa KE aliyekufata huko mtaani kwenu?
Mwanaume wa Kike🤣....huyu kitaalam kabisa anaweza kuitwaje? Au ndio ile anakuja na sababu za kiutapeli.
Inategemea tu na namna unavyompitisha kwenye chekecheke la kuchuja. Kwangu mimi nadhani mitandao imewafanya wanaume wawe na urahisi wa kujua yupi ni mke bora na yupi siyo. Ukiingia kwenye Facebook au Instagram, kwa kuangalia tu profile, picha anazo-post na maneno anayoandika ni rahisi sana kujua huyu ni mwanamke wa aina gani. By the way unajua kuwa unaweza kuoa mwanamke ambaye hatumii kabisa social media lakini baadae akaja kubadilika na kuwa champion?Mwanaume mwenye akili timamu unatafuta mwanamke wa kuoa mtandaoni, utakuwa fala la kufungia mwaka. Hawa wa mtandaoni watafute ukiwa na ugwadu tangaza dau piga shoo pita hivi. Hii internet ilitakiwa iwafungue watu akili ila matokeo yake imetengeneza mazombi ya kidijitali, yaani unatafuta mke mtandaoni we ni FALA BOYA na unastahili kupigwa na kitu chenye ncha butu.
Mtandaoni mwanamke akikubali kudate huyo ni malaya muuzaji tu, kuliko kutumia bando lako vibaya ni bora ungeshuka pale Sinza Manzese, Temeke au Tabata ukutane nao face 2 face.
Waliopo Jf na wanakubali kudate ndo hao wapo tinder, ndo wapo telegram, ndo wapo kwa madanguro, ndo wapo bar na kumbi zote za starehe.
Hii inaweza kuwa sababu ya msingi eeh! Manake ni kuwa tupo na matapeli na mashoga wengi humu.1. Utapeli
2. Ushoga
Wasamehe bure hao jamaa, hayo ndiyo madhara ya kutawaliwa na ccm miaka mingi.Sasa huoni kuwa kuna kundi kubwa la wanaume wapumbavu mkuu?
Mtu aache kutafuta pesa kwa njia halali aje huku afungue ID ya kike ili tu apige mizinga?