Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

yote yanawezekana
 
Naomba kufahamu, nimeona JF kukiwa hadi na shindano la kutafuta mdada mrembo zaidi. Iv huwa wadada walioko huku wameweka picha zao? Na je JF ID nyingi si sio halisi mtu yoyote anaweza tumia ID ya Ke kumbe ni Me . Sasa hawa wadada mnaowaongelea huwa mnakutananao au mliwaona wapi?
 
Uzi haujanifungua vizuri, una maswali yamehang kidogo. Vile umesema ni research, useme sasa ulitumia methodology gani(kuwalala) na sample space ilikuwa ngapi...jibu maswali yangu.
Nikikujibu hapa *useme sasa ulitumia methodology gani(kuwalala) * nitakua nimekupa mbinu za kuwala .

Tafuta njia zako mwenyewe kuniprove wrong
 
Heee kumbe kuna kutongozana umu🤔
 
Unaweza kupata mwanamke mwema tu mtandaoni hata wema wanaitumia hii mitandao japo kweli ni kubahatisha unaweza ukawa na bahati nzuri sana au ukawa na bahati mbaya sana
Ningumu kupata mwanamke mwema mtandaoni, mwanamke anayejielewa kwanza hawezi kukubakiana na mtu anayemfata mtandaoni. Otherwise awe danga kama wa humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…