Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #61
Mtaani utakataliwa kwa sababu unaonekana live. Jf mlikua mnajifichia hukuWakikukataa jf, rudi mtaani [emoji14][emoji14]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani utakataliwa kwa sababu unaonekana live. Jf mlikua mnajifichia hukuWakikukataa jf, rudi mtaani [emoji14][emoji14]
Mwishowe mtasema tusioe wanawake
Kwa njia yoyote ile wanapata iwe new ID or ya zamani...Hivi mnapataje madem humu duuh watu makauzu Sana..au mnatumia I'd mpya
Halafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm 🤣Haya malalamiko yote ni kuwa mleta thread kakutana na WANAUME WA KIKE huko PM wamempeleka mjini.🤣
Mambo ya ajabu hata mtaani yanapatikana .
[emoji23][emoji23][emoji23] mtaani wanakukataa kwa sababu wewe ni wa jeifu...Wakikukataa jf, rudi mtaani [emoji14][emoji14]
Alishabamizwa parefu kama akina fulani ila kaficha.😂😂 sasa buku ni mzinga mkuu?
Hiyo si yakubetia, je angelibamizwa parefu kama wakina fulani
We ndyo umetoa povu tena la kleesoft 🤣🤣🤣 umekutana na dume huko pm limekuchuna vipesa vyako vya ngama unakuja kulialia hapa na bado 🤣Acha kutoa mapovu kaa kwa kutulia. Lazima kizazi kipone ili ndoa zi imarike, hamna pakujifichia sasa
Unatumia I'd mpya alafu unakua na upepo mpya utawapata kirahisi ila wauzaji..Hivi mnapataje madem humu duuh watu makauzu Sana..au mnatumia I'd mpya
[emoji23][emoji23][emoji23] uko deep sana!Halafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm [emoji1787]
Ndyo akome kutongoza tongoza hovyo
Tupe basi kidogo 🤣🤣🤣🤣Alishabamizwa parefu kama akina fulani ila kaficha.
Nina mafaili ya wengi sana waliopigwa na kile kibibi 😂
Huyu jamaa kajileta mwenyewe ila hajui kuwa ninalo file lake 😂
Waliona wapi? Usiwe unawaambia[emoji23][emoji23][emoji23] mtaani wanakukataa kwa sababu wewe ni wa jeifu...
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] uko deep sana!
Kabisa,na uzuri ni rahisi kugundua na tamaa yetu wanaume ndio inayopelekea kutapeliwa na baadae kufungua threads za malalamiko .Mwanaume mwenye ID ya kike 😂
Humu wapo wengi sana na ndio hao wanaharibu image ya wanawake wa jf
Wana hali mbaya waonee huruma 😄Duuh! kila siku wanawake this wanawake that! hamchoki?
Tena hizo mpya ndo uwa hazijibiwi PM 😀😀Hivi mnapataje madem humu duuh watu makauzu Sana..au mnatumia I'd mpya
PM ni kuchukua namba na kukutana nae live, nilio kutana nao ni wakike na nimefagia wengi ana kwa ana katika kukamilisha utafiti wangu.Haya malalamiko yote ni kuwa mleta thread kakutana na WANAUME WA KIKE huko PM wamempeleka mjini.[emoji1787]
Mambo ya ajabu hata mtaani yanapatikana .
Kwa hiyo hata wale wanaopigiwa kura ya warembo jf ni vidume wenzetu?Halafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm 🤣
Lakini Hawa Kunguni waliomwagwa Hapa wanaonekana ni wa Chanika hawa.Loading Failed tena kwenye moja na mbili
Who knows unaweza kuta ni dume shababi 🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo hata wale wanaopigiwa kura ya warembo jf ni vidume wenzetu?