makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kuna neno umelikosa hapo.. "BAADHI YA"
Ungesema baadhi ya wanawake wa JF ningekuelewa na kukubalia kirahisi zaidi.
Binafsi nimeoa mwanamke wa JF.
halafu tambua tu wanawake wa JF ndio wa huko mtaani, mtaani kuna wastaarabu na wauza papa, so JF kuna wauza papa, kuna wadangaji, kuna wife material, kuna wanawake SWAAFI kabisa.. Kama umebahatika kukutana na wauza NYABWA basi hakuna tabu ila usiwahukumu woote.
Ungesema baadhi ya wanawake wa JF ningekuelewa na kukubalia kirahisi zaidi.
Binafsi nimeoa mwanamke wa JF.
halafu tambua tu wanawake wa JF ndio wa huko mtaani, mtaani kuna wastaarabu na wauza papa, so JF kuna wauza papa, kuna wadangaji, kuna wife material, kuna wanawake SWAAFI kabisa.. Kama umebahatika kukutana na wauza NYABWA basi hakuna tabu ila usiwahukumu woote.