Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Huenda nikawa tofauti kimtazamo na wengine lakini kama kijana inabidi uwe mbunifu na risk taker. Usijali kuhusu hasara siku zote biashara ngumu zenye hasara kubwa ndobiashara zenye mafanikio. Ukipata fursa ya kwenda kutafuta maisha ughaibuni hata kama nikwakuvuka bahari kwa kutumia mashuwa vuka nenda katafute maisha.
Usiogope kufa kwenye kusaka life mtu wangu, jirisk jirushe tafuta pesa no way zaidi ya kuhangaika kwa udi na uvumba. Ndio mana wenzetu Wasomali wakiwa ugenini wanatoboa chapu kwasababu wanajua walifika huko kwa ku-risk maisha yao walipanda kwenye makontena ya matipa kwa umbali wa kilometer zaidi ya 5000.
Waarabu nenda huko Marekani, Italy na Uingereza wametoboa kwakuwa kuvuka kwao bahari kulijawa na dhoruba na harufu ya umauti maana kuingia kwao tu sio documentary wala legally wameingia kimagumashi na wametoboa. Kama utakufa kwenye utafutaji utakuwa umekufa kikamanda maana hiyo ni Trial and Error.
Usiogope kufa kwenye kusaka life mtu wangu, jirisk jirushe tafuta pesa no way zaidi ya kuhangaika kwa udi na uvumba. Ndio mana wenzetu Wasomali wakiwa ugenini wanatoboa chapu kwasababu wanajua walifika huko kwa ku-risk maisha yao walipanda kwenye makontena ya matipa kwa umbali wa kilometer zaidi ya 5000.
Waarabu nenda huko Marekani, Italy na Uingereza wametoboa kwakuwa kuvuka kwao bahari kulijawa na dhoruba na harufu ya umauti maana kuingia kwao tu sio documentary wala legally wameingia kimagumashi na wametoboa. Kama utakufa kwenye utafutaji utakuwa umekufa kikamanda maana hiyo ni Trial and Error.