ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
We ungefanyiwa mabaya ungependa?kisa TU una fedha mtu akuue achukue hizo hela.acha ubinafsi tafuta hela kihalali na ridhika nazo shukuru ..kujilipua jilipue ila sio kwa mbinu ya kutofanyia mwenzako mema..Sawa mwenzetu utaishi milele
get rich or die trying broMkuu kufanikiwa una maana gani kumiliki vitu gani ndio kufanikiwa..Mimi nazungumzia habari za kuridhikiwa.yaani napinga hoja ya kwamba urisk mpaka maisha yako kwa ajili ya pesa TU...haifai kupambana sawa tupambane sijakataa ila sio kwa kiwango Cha kuvuka mipaka ya uhai.
Mtu ana risk kutafuta Nini? ilihali yupo comfortable na maisha yake anapata basic needs zote on time muda mwingine kuridhika sio ujinga.Kibongo bongo wachache wanaeza kujilipua huku tunaanza ku calculate risk sana ooooh polisi wakinibamba nafia jela sasa unaogopa kufia jela unafia geto kama inzi kwenye glass ya bia.
Kweli mkuuUshauri mzuri ila mtu asijiingize kwenye vitendo viovu, apambane katika vitu visivyo vunja sheria na kumkosea Mungu.
Ni kweli inaleta peace of mind Ila pesa is "not every thing" kuna maisha zaidi ya pesaHela inaleta peace of mind mkuu
Sio kweli bro, pata kisukari au kansa arafu uwe na pesa ndio utajua afya ni bora kuliko kitu chochoteHela inaleta peace of mind mkuu
*Kati ya kipindi cha uzee na ujana ni kipi hukuchukua muda mrefu wa mtu kukiishi?Watu wengi tunafikiri kwamba pesa itatupa furaha na amani ya moyoni lakini ukweli NI kwamba ukishazipata hizo pesa halafu ukafikisha miaka ya uzeeni matazimio yote Yale yanapotea unaanza kuwaza kitu kingine kabisa isitose pesa hazishibiki huwezi kuridhika..afadhali uwe na Mali kidogo ila imani kwa mwenyeziMungu ndio iwe kubwa....pesa zipo ardhini tunazikanyaga ardhi ardhi ardhi imebeba utajiri hakuna haja ya kufanya uhalifu au kuvuka bahari na vyombo visivyo na standard...
[emoji23][emoji23][emoji23] umeua MkuuKibongo bongo wachache wanaeza kujilipua huku tunaanza ku calculate risk sana ooooh polisi wakinibamba nafia jela sasa unaogopa kufia jela unafia geto kama inzi kwenye glass ya bia.
Ujana NI miaka mingi na ujanani ndipo pesa inatumika Sana...ila sisemei uzee Sana hapana hata Kama miaka 40 pekee unaweza kuanza kujuta kwa uliyoyafanya kisa TU kutafuta pesa kwa njia mbovu.*Kati ya kipindi cha uzee na ujana ni kipi hukuchukua muda mrefu wa mtu kukiishi?
* Kipindi kipi kati ya ujana na uzee huhitaji pesa sana?
Kuna mtu kataja uhalifu hapoUko sahihi chief dunia ya leo mafanikio ya mtu yanapimwa kwa wingi wa pesa na Mali hata Mimi naona tofauti nikiwa na kibunda na nikiwa nimefulia..kweli pesa ndo uhai ndo maisha ila napingana na mbinu ya kufanya uhalifu maana Mara zote uhalifu means unamnyima mwingine haki unamfanyia ukatili huo ujeuri na ukaidi Mimi siuwezi.
Hongera sana, siku ukitoa hiyo story naomba unitagmpwayungu village nakuelewa bro japo si kila mtu anaweza japo na bahati ya mtu yaweza kuhusika , siku moja nitashare nanyi nilivyojilipua mkoa fulani (Tanzania ) mpaka leo sitii maguu huko ila nimewin [emoji23][emoji1787][emoji23]
Tena miaka 30 kama bado muogamuoga nitashangaa sana unless uwe umetoboaMiaka ya gizani huko kabla hawajafanya pesa kua mfumo kuu wa biashara, barter trade ndo ilikua kila kitu so utajiri ilikua ni ardhi, madini, wanyama..miaka ya mbele utajiri itakua ni roho yako mkononi pesa inaenda kupotea, itakuja crpto nayo itapotea yaanze maswala ya popuation control. Yote kwa yote ushauri wa mkuu una apply kwa bachelor tena umri kiaka 30 kushuka mana ukiwa na tegemezi automatically akili zinakukaa.. 30s kwenda mbele ni mwendo wa kucheza kwa step ukijilipua unalipuka kweli [emoji378]