Usiogope kujilipua kwenye kutafuta maisha, hakuna njia rahisi

Shida inaanzia hapo kutake risk wengi wanadhani ni kua jambazi, tapeli, mwizi, uuze madawa ya kulevya hapana kuna mambo mengi tu kwa sasa unaweza kutake risk na mambo yakasogea kwa mfano kukaa sehemu moja bila kupata taarifa mpya ni ulemavu wa akili, mtu unaambiwa mbao za kutoka njombe na mafinga Lubumbashi congo zinahitajika halafu unakuta una mtaji hata wa semi moja unashindwa kwenda hadi fursa zinajifunga,
 
Umeongea kwa hisia sana, watoto nyanyanyanya hawatakuelewa
Mkuu nimepita huko na bado napitia...hakuna aliyeko juu afu akiwa chini alicheza..hata hawa wanasiasa wamesota sanaa..mf mdogo tuu..kuna siku niliona uzi huku ukisema Vunja bei kwao ni wakishua na zaid hapo alipofika familia ilimbeba...kama nisingekuwa namjua basii una amin..nakumbuka 2007 mwishon..ndio nasubir tokeo la form 2..mwamba kafukuzwa kwao kaja kwa ofis ya mshua akanambia dogo simu hii hapa nipe 40k..kuicheki ipo poa .. nikampatia mwamba hyo akasepa zake kusikojulikana...dahh hebu niishie hapa
 
Uko mwanza unaelezwa kua kilindi wanalima mahindi bila mbolea, unanauli ya kufika huko unashindwa kuchachatika uende ulime hata ekari tano ukomae kulala kwenye turubai, uje uvune gunia 50 maana kwa ekari mavuno ya chini gunia 10 ukikutana na bei ya 70 una milioni tatu, hapo umepata kianzio unapiga kwa mwaka nauli za kufuata interview mara dodoma, mara dar mara arusha na photocopy umetumia milioni na kazi hauna kumbe ungepiga hesabu vizuri miaka 3 mbele ungekua hata vyeti umetupa mbali hutaki hata kuviona,
 
Tusijifungie ndani take risk, jilipue usione aibu, hatma ya mafanikio yako unayo wewe mwenyewe tutabaki tunalaumu mara ccm vile mara chadema hawatutetei uliona wapi serikali ikuletee pesa mfukoni haipo hiyo tulie nao watunge sera bora na mazingira imara kwa upambanaji lakini chini ya jua hakuna spoonfeeding kama umetokea familia zetu zileeeee
 
Noted! Mkuu fursa zimetapakaa sijui kwanini hawa madogo wanajazana kariakoo kuuza protector za simu
 
Acha bhana! Kumbe mchizi kaanza mbali halafu madogo wanabwata tu
 
Anaogopa anasema zitatekwa na vikosi vya M23 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tumekuelewa mkuu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mbona wewe uliogopa kutoendelea na Ile hadithi yako ukazira ,ukakata tamaa. Yaani wewe uliyekatishwa tamaa na maneno ya watu tu Sasa huko kuvuka bahati utaweza kweli mana hujaiona nyangumi anasheki boti yenu utakufa nadhani
 
Vunjabei kwao kwa kishua lakin yeye kapambana kivyake mpaka kafikia hatua ya kuwaajiri kakazake akina fadhili

Dingi ake ni mkaksi kinoma ndio matajiri wa iringa way back
Buuuuh! Basi kwao niwapambanaji naturally
 
We fala si ulisema unaenda kazini na v8? Kwenye uzi wako wa uganda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…