Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #81
Duuh hii kaliSanaa...hapa hujakosea..ila tufanye vyote tupeleke watoto shulee...yule mzee unamaliza degree ..kashaweka pesa ya masters kwenye acc..ukimaliza masters yako msitafutane..
Subir na sisi tupate ndio tuongee kama wewe ila hadi sasa huwezi kuniambia kitu kuhusu pesa pesa inaleta heshima sana..Watu wengi tunafikiri kwamba pesa itatupa furaha na amani ya moyoni lakini ukweli NI kwamba ukishazipata hizo pesa halafu ukafikisha miaka ya uzeeni matazimio yote Yale yanapotea unaanza kuwaza kitu kingine kabisa isitose pesa hazishibiki huwezi kuridhika, afadhali uwe na Mali kidogo ila imani kwa mwenyeziMungu ndio iwe kubwa. Pesa zipo ardhini tunazikanyaga ardhi ardhi ardhi imebeba utajiri hakuna haja ya kufanya uhalifu au kuvuka bahari na vyombo visivyo na standard.
🤣🙌Kibongo bongo wachache wanaeza kujilipua huku tunaanza ku calculate risk sana ooooh polisi wakinibamba nafia jela sasa unaogopa kufia jela unafia geto kama inzi kwenye glass ya bia.
Yule dingi kuna kazi alitupatia pale mafinga miaka hiyo aisee yule mzee ni mchumi balaaaMshua pesa anaijua
Motivation speaker kwenye ubora wake.Huenda nikawa tofauti kimtazamo na wengine lakini kama kijana inabidi uwe mbunifu na risk taker. Usijali kuhusu hasara siku zote biashara ngumu zenye hasara kubwa ndobiashara zenye mafanikio. Ukipata fursa ya kwenda kutafuta maisha ughaibuni hata kama nikwakuvuka bahari kwa kutumia mashuwa vuka nenda katafute maisha.
Usiogope kufa kwenye kusaka life mtu wangu, jirisk jirushe tafuta pesa no way zaidi ya kuhangaika kwa udi na uvumba. Ndio mana wenzetu Wasomali wakiwa ugenini wanatoboa chapu kwasababu wanajua walifika huko kwa ku-risk maisha yao walipanda kwenye makontena ya matipa kwa umbali wa kilometer zaidi ya 5000.
Waarabu nenda huko Marekani, Italy na Uingereza wametoboa kwakuwa kuvuka kwao bahari kulijawa na dhoruba na harufu ya umauti maana kuingia kwao tu sio documentary wala legally wameingia kimagumashi na wametoboa. Kama utakufa kwenye utafutaji utakuwa umekufa kikamanda maana hiyo ni Trial and Error.
View attachment 2325124View attachment 2325125View attachment 2325127
Tuko pamoja MkuuAhsante kwa ujumbe wako mkuu
Uko sahihi sana mifano uliyoitoa hapo ndio uhalisia wenyewe kwani Hao waliofanikiwa wengi wao Wali take risk.maisha