Usiogope kuoa kwa sababu ya gharama za kuoa, hizi ni njia rahisi nimekuwekea hapa, chagua itakayokufaa

Asante sana mkuu nimeipenda hii D easy kabisa tatizo watu wengi mambumbumbu wamekaririshwa inafanya ndoa kuwa ngumu siku hizi
 
Write your reply...nani amekuambia hatuoi eti kwa sababu ya gharama??
hatuoi kwa sababu mambo mnayoyapata mliooa na sisi masela tunayapata maghetoni mwetu!
Una akili sana baharia...sasa kwanini uoe kama kila anachopata aliyeoa na wewe unakipata tena huenda unapata vingi kuliko yeye!
Maishani mwangu kuna vifungo viwili tu ambavyo sitafungwa milele na milele:-
1.Ndoa
2.Kuajiriwa
Hivyo vifungo vingine hewala!!
 
Kamanda vip wewe umeshaoa! ?
 
[emoji121]
HIYO NAMBA MBILI HIYO NINA MIKAKATI NAYO!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…