Usiogope kuoa kwa sababu ya gharama za kuoa, hizi ni njia rahisi nimekuwekea hapa, chagua itakayokufaa

Usiogope kuoa kwa sababu ya gharama za kuoa, hizi ni njia rahisi nimekuwekea hapa, chagua itakayokufaa

USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Ela ni nini maana yake?
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Aisee unaoa kwa 65000/= basi huko pwani maana ndo nasikia kuoa hata laki tatu haifiki hadi harusi.
 
Harusi za kiislamu kiasili hapa Tanzania ni gharama nafuu sana unless kama
1/Unataka ifanane na zile za kikristo au kimagharibi. (Huko ndio swaga za Ufahari wa Harusi zilipoanzia na kujikita kwa karne nyingi sana)

2/Wanandoa wana uasili wowote wa Kiarabu, Maarufu sana, Viongozi wa juu wa kisiasa nk. (Inalazimisha kumantain Status ya Nafasi yako kwenye jamii hususani aina ya marafiki na watu wenye uwezo wanakuzunguka)

3/Suala la dini(Uislamu) sio Agenda ya muhimu (Hapo idea za Kibagani za matumizi ya Anasa zinajiingiza)

4/Umeunda kamati ya Harusi na kukusanya pesa za Michango ya Harusi(Hapo unawajibika kuwaridhisha waliokuchangia na pia utaliwa pesa na wanakamati)

USHAURI WANGU.
*Kama wewe ni muislamu basi fanya harusi isiyo na fahari au gharama kubwa ili kupata swawabu na kulinda utamaduni wa harusi za kiislamu.

*Kama unao uwezo wowote wa kipesa, kwepa kabisa suala la kuunda kamati ya kukusanya michango na kufanikisha harusi yako.

*Kaa na ndugu zako wa karibu sana kuona namna unaweza kufanya harusi yako kiislamu na kinyumbani zaidi.

*Budget ya harusi inategemea, ila kiufupi, kiislamu mambo muhimu ni haya tu.
1/Chakula(Ubwabwa)
2/Vinywaji(Soda).
3/Burudani(Kaswida)
4/Mavazi(Kanzu, Kofia, Kiremba, Gauni, ina)
FROM Zanzibar-ASP
Bado hujasema mahali mkuu
 
Harusi za kiislamu kiasili hapa Tanzania ni gharama nafuu sana unless kama
1/Unataka ifanane na zile za kikristo au kimagharibi. (Huko ndio swaga za Ufahari wa Harusi zilipoanzia na kujikita kwa karne nyingi sana)

2/Wanandoa wana uasili wowote wa Kiarabu, Maarufu sana, Viongozi wa juu wa kisiasa nk. (Inalazimisha kumantain Status ya Nafasi yako kwenye jamii hususani aina ya marafiki na watu wenye uwezo wanakuzunguka)

3/Suala la dini(Uislamu) sio Agenda ya muhimu (Hapo idea za Kibagani za matumizi ya Anasa zinajiingiza)

4/Umeunda kamati ya Harusi na kukusanya pesa za Michango ya Harusi(Hapo unawajibika kuwaridhisha waliokuchangia na pia utaliwa pesa na wanakamati)

USHAURI WANGU.
*Kama wewe ni muislamu basi fanya harusi isiyo na fahari au gharama kubwa ili kupata swawabu na kulinda utamaduni wa harusi za kiislamu.

*Kama unao uwezo wowote wa kipesa, kwepa kabisa suala la kuunda kamati ya kukusanya michango na kufanikisha harusi yako.

*Kaa na ndugu zako wa karibu sana kuona namna unaweza kufanya harusi yako kiislamu na kinyumbani zaidi.

*Budget ya harusi inategemea, ila kiufupi, kiislamu mambo muhimu ni haya tu.
1/Chakula(Ubwabwa)
2/Vinywaji(Soda).
3/Burudani(Kaswida)
4/Mavazi(Kanzu, Kofia, Kiremba, Gauni, ina)
FROM Zanzibar-ASP
Mahali hujatataja maksio mkuu
 
Mahali hujatataja maksio mkuu
mahali NI CHOCHOTE HATA FUNDA LA MAJI KIKUBWA ARIZIE MWENYEWE MUOLEWAJI....WENGINE PETE,WENGINE AHAD YA KUFUNDISHWA QURAN,WENGINE KIGANJA CHA TENDE YAN MAHARI NI ZAWAD KWA MUOLEWAJI NAE HUTAKA CHOCHOTE BILA KUSHURUTISHWA.....WALA MAHARI HAITHAMANISHI THAMANI YA MTU NI ZAWADI HATA AKATAKA MAMILIONI NA MWINGINE AKATAKA DOT YA KHANGA.
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Hayo yote ya nini wee tia mimba tuu unapewa bure tena na kipindi hichi wako nje nje wewe tuu ushindwe
 
Ngumu kumeza, hili jambo ni la kushauriana
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Maisha yamepanda bei sasaivi
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.
Pete elfu 5???huuzwa bei gani


JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Safi sana kwa mchanganuo mkuu. Kijana wako nimekuelewa vizuri.
 
Nimei
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
Nimeipenda hiyo ya mahari hata ukitajiwa 10m wee toa 400,000. Ila kwa staili hiyo utapewa mke kweli? Na hiyo balance ya 9,600,000 utaipata wapi umalizie deni? Nataka kuoa mwaka huu😃
 
Shtuka mkuu! Kuna wenzako wanakuja shtuka wako na 40yrs! By this time nguvu za mwili zishapungua na huwezi tena kuhustle,akili inakuwa imezorota pia unakuwa mwoga wa kuinvest katika biashara.
Umri huu ni "one mistake, two goals" unakuwa maskini wa kutupwa then kifo kinakuja kwa kasi ya bombardier!
Jiulize kwanini wastaafu hufa mapema......
Shida vijana wengi tunahofia sana maswala ya Rizki wakati uzinzi wenyewe ni gharama sana na hatari kiakili, kiroho na kimwili.
 
Back
Top Bottom