KweliWana gubu balaaa na kujimwambafai sasa yani wanajua kujitutumua sijawahi ona mimi naona asilimia kubwa hawajiamini ndio maana wanaishi kwa kujihami
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada Leti kama hutojali tupandishie basi hiyo avatar kwa huu uzi basi unatuchosha.