Usiombe boss wako awe mwanaume mfupi

Usiombe boss wako awe mwanaume mfupi

Kuna mmoja ni andunje kweli kweli ni mtu anayependa ujiko na kutuma tuma watu

Sasa Kuna siku tukakutana kwenye "Masanga" viti virefu

Akaanza kunipa maagizo eti nimwitie waiter sijui nimletee bia

Nikamchana pale pale hakutegemea maana hua ni mkimya Sana Mimi "nikamwambia uboss wako Huko Huko ofisini Hapa kila yuko sawa anatumia kwa mfuko wake "

Akajifanya kumind Sana heheheh sema ni kiranja tu kazini lakini Hana ubavu was kunifukuzisha kazi ndio maana nilikuwa na hizo guts

Since then tunaheshimiana
 
Kuna mmoja ni andunje kweli kweli ni mtu anayependa ujiko na kutuma tuma watu

Sasa Kuna siku tukakutana kwenye "Masanga" viti virefu

Akaanza kunipa maagizo eti nimwitie waiter sijui nimletee bia

Nikamchana pale pale hakutegemea maana hua ni mkimya Sana Mimi "nikamwambia uboss wako Huko Huko ofisini Hapa kila yuko sawa anatumia kwa mfuko wake "

Akajifanya kumind Sana heheheh sema ni kiranja tu kazini lakini Hana ubavu was kunifukuzisha kazi ndio maana nilikuwa na hizo guts

Since then tunaheshimiana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulimkomesha
 
Back
Top Bottom