Usiombe kudaiwa na TALA

Ha ha ha pole sana
Ila mm nilijiunga tu sikukopa mara nikaanza kudaiwa emails za saa saba usiku
 
Hivi nyinyi watu mnaokopa halafu hamtaki kulipa,huwa mnafikri sisi hatuna shida[emoji848]?
TitalipA ila si kwa vitisho hivi mara utashitakiwa kwa wizi wa mtandao mara utalipia gharama za kisheriA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…