Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
- Thread starter
- #61
Hatujitapi mkuu ila haw jamAa unaongea nao leo kwamba mshahara ukiingia ntamaliza deni muda si mrefu wanapiga tenaKumkopesha M Bongo jiandae kwa purukushani.
Wale wa Korosho wameambiwa wapewe pesa wasikatwe madeni, sipati picha Mtu akishapokea pesa yake atakavyotoka nduki asilipe deni.
Tutalipa ila si kwa usumbufu huu
Nimekoma