Usiombe kudaiwa na TALA

Usiombe kudaiwa na TALA

Kumkopesha M Bongo jiandae kwa purukushani.

Wale wa Korosho wameambiwa wapewe pesa wasikatwe madeni, sipati picha Mtu akishapokea pesa yake atakavyotoka nduki asilipe deni.
Hatujitapi mkuu ila haw jamAa unaongea nao leo kwamba mshahara ukiingia ntamaliza deni muda si mrefu wanapiga tena
Tutalipa ila si kwa usumbufu huu

Nimekoma
 
Hatujitapi mkuu ila haw jamAa unaongea nao leo kwamba mshahara ukiingia ntamaliza deni muda si mrefu wanapiga tena
Tutalipa ila si kwa usumbufu huu

Nimekoma
Mzee, cha muhimu ni makubaliano ya awali, kama hukubaliani nayo usikope.
 
Kukopa TALA ni USWAHILI uliotukuka haiwezekani uneemeke kwa mtu ufanikiwe kwa kukopa 30_300,000/=.
 
Mi nilikaa na deni miezi sita..wakanipiga mkwara sana na kwamba hawatanikopesha tena...juzi nimejaribu nikapata mkopo mara mbili ya awali...sijui wamenisahau
 
Mi nilikaa na deni miezi sita..wakanipiga mkwara sana na kwamba hawatanikopesha tena...juzi nimejaribu nikapata mkopo mara mbili ya awali...sijui wamenisahau
Ulfanyaje hiyo hadi wakakusahau
 
Hivi tigo bado wanakopesha 😂😂😂, nna deni lao yapata mwaka na nusu nahisi wamesahau
 
Kudai mtu hela halafu akawa anazingua huwa inaboa sana.

Binafsi sipendi kukopa ovyo ovyo, na nikikopa huwa narudisha mapema pindi nipatapo(sina historia ya kuzongwazongwa kwa kudaiwa deni)
Mkuu km mm!
Kwanza nikidaiwa napoteza kabisa amani!
Deni pekee nlilonalo na niko na amani kulipa taratibu ni HESLB!
 
Kwa ambao hatujazoea! Kudaiwa ni mtihani sana!
Hili la taasisi sio shida kama kudaiwa na mtu mmoja mmoja maana itafika kipindi anakukazia kweli kweli kukudai utatamani ujifiche kabisa.

Kuna watu ni vinara wa kudai tena kwa staili korofi sana
 
Ofcourse dawa ya deni kulipa tala hawanidai tena kazi nilyonayo hapa ya kupokea vitisho kutoka branch mara wata ntoa katika magazeti alooh nawalipa tuvumiliane hata buku pokeeni kwanza.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wabongo sisi ni shida
 
Back
Top Bottom