Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni ajabu facebook kuwa social media inayopoteza mvuto kwa kasi sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 941981View attachment 941982View attachment 941983View attachment 941984View attachment 941988
He! Vipi kuhusu Branch? Maana wananidai ila leo ni cku ya 2.Hawa jamaa nimewavulia kofia wanadai hadi saa 8 usiku
Kudai mtu hela halafu akawa anazingua huwa inaboa sana.
Binafsi sipendi kukopa ovyo ovyo, na nikikopa huwa narudisha mapema pindi nipatapo(sina historia ya kuzongwazongwa kwa kudaiwa deni)
Hivi nyinyi watu mnaokopa halafu hamtaki kulipa,huwa mnafikri sisi hatuna shida[emoji848]?
Usijali mkuuSuper ukikwama tuwasiliane
Mara nyingi watanzania siyo rahisi kutishiwa hadi limtokee ndo anakuwa mpole. Sipati picha wamekula hasara ngapi huu ukanda, Hahaa
Sikulipa adi leo..na mwaka awaja nitumia tena textHukuwalipa kabisa? Vipi sms za vitisho?
Hahahahaaaa huwa napitia kila siku kwenye page ya Tala fb huwa nacheka Sana hizo reply za wabongo nadhani huwa wanacheka Sana 😛😛😛😛[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 941981View attachment 941982View attachment 941983View attachment 941984View attachment 941988
Inachukua mda gani au vigezo gani kufika kiwango hicho cha mkopo?Kama hivi wameweka na nyongeza ya adhabu zao mpaka basi. View attachment 941199
Soma hapoInachukua mda gani au vigezo gani kufika kiwango hicho cha mkopo?