wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,305
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi walinambia wameagiza difenda ije hadi nilipo nikamatwe ila nimesubiri zaid ya week 3 difenda sijaiona [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi walinambia wameagiza difenda ije hadi nilipo nikamatwe ila nimesubiri zaid ya week 3 difenda sijaiona [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanakpesha kuanzia sh ngapi ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, mkuu umenifany nicheke kwa sauti,,, mi deni lina miezi 10 lkn kila kukicha lazima watume sms
Na mara nyingi watu wa hivi huwa tukikopesha tunasumbuliwa sana kwenye kulipwa.Kudai mtu hela halafu akawa anazingua huwa inaboa sana.
Binafsi sipendi kukopa ovyo ovyo, na nikikopa huwa narudisha mapema pindi nipatapo(sina historia ya kuzongwazongwa kwa kudaiwa deni)
Kuanzia 20,000 hadi laki 3Wanakpesha kuanzia sh ngapi ?
Hiv ikitokea hao branch ukachelewa ata wik itakuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee nilikopa branch elfu 20 sio kwa meseji za vitisho kama vile ila saiz wamepunguza moto wao.
Unauliza kwanini akope ?!!!......wakati mwingine muwe na maswali yenye logic [emoji41]Kwq nini ukope...?
Ofcourse dawa ya deni kulipa tala hawanidai tena kazi nilyonayo hapa ya kupokea vitisho kutoka branch mara wata ntoa katika magazeti alooh nawalipa tuvumiliane hata buku pokeeni kwanza.
Hahaha na vile ukiangalia hauwezi badilisha nambaHawa jamaa nimewavulia kofia wanadai hadi saa 8 usiku
Kumbuka kipindi unasajili hizo app hukusanya IMEI number ya simu yako lifahamu hilo.Hao jamaa walivyo wajinga kila nikifunga simu yangu ikiwa data on nasumbuliwa na tangazo Lao la app. Ikabidi nisajili line fake,nikafungua na fb kwa majina fake ambayo ni sawa na yale ya line fake,nikaanza kukopa 20000 ikapanda mpaka 30000 Baada ya hapo nikawakopa tena 30000 nikasepa mazima mpaka kesho,line nikafuta, na fb akaunti nikaidelete. Nadhani niliwakomesha pumbafu Zao. Nawalia time branch,nao watakuja kunikumbuka pumbafu zao