Usiombe kudaiwa na TALA

Usiombe kudaiwa na TALA

Kumbuka ni kitambulisho fake,na simu sina ambayo nilikuwa natumia.
 
lazima walink na account yako ya facebook na kitambulisho cha mpiga kura kwa hiyo hata wasipokupigia simu kukudai huwezi kuwatoroka kamwe hakuna mjinga aanze kugawa feza bila RISK , wapo wengine wanaitwa Branch hawa ni mpesa tu ,tala wao ni tigo tu, branch wanatupatia feza kwa riba kidogo ila nzuri kulipa kwa mwezi, ya kulipa kwa wiki ni kelo hasa siku ikipita ni sms na kupigiwa simu
Haswaaa....ila sasa ukipitisha muda sijui inakuaje mana naona kesho zam ya kuwalipa branch ila sijapata ela bado jmn
 
Kumbuka kipindi unasajili hizo app hukusanya IMEI number ya simu yako lifahamu hilo.

Kwenye database yao wana information za vitambulisho ulivyotumia wakati unajisajiri.

Wakiamua ku-track wanaweza kukupata hata ukiwa um-edelete facebook account.
Watu wanchukulia simple....pindi unapoinstall app yao...kuna sehem za "allow" ambpo unawapa nafasi ya kusoma message na contacts za kwenye cm yako....!!so waweza kufuta app na fb lkn still taarfa wanazo....labd utumie cm ambyo huna mawasiliano na wengne
 
Screenshot_20181211-103245.png
Waiting to be approved,nianze kula mapesa naahidi kuwa mwaminifu kwao na kulipa madeni kikamilifu...Watanzania hatujui jinsi ya kutumia hizi fursa kikamilifu wengi tunaingiza ubabaishaji na kuwafanya wengine waaminifu tuonekane matapeli
 
Wabongo tunapenda sana kitonga, mtu unakopa halafu kulipa changamoto.

ndio maana sometime bora usikopeshe mtu ili kulinda uhusiano wenu vile baadae mnaweza kuwa maadui..
 
Hao jamaa walivyo wajinga kila nikifunga simu yangu ikiwa data on nasumbuliwa na tangazo Lao la app. Ikabidi nisajili line fake,nikafungua na fb kwa majina fake ambayo ni sawa na yale ya line fake,nikaanza kukopa 20000 ikapanda mpaka 30000 Baada ya hapo nikawakopa tena 30000 nikasepa mazima mpaka kesho,line nikafuta, na fb akaunti nikaidelete. Nadhani niliwakomesha pumbafu Zao. Nawalia time branch,nao watakuja kunikumbuka pumbafu zao
Kitambulisho nacho fake au chai hii chief? [emoji23]
 
Kudai mtu hela halafu akawa anazingua huwa inaboa sana.

Binafsi sipendi kukopa ovyo ovyo, na nikikopa huwa narudisha mapema pindi nipatapo(sina historia ya kuzongwazongwa kwa kudaiwa deni)
Mbabu nikopeshe buku20
 
View attachment 964080Waiting to be approved,nianze kula mapesa naahidi kuwa mwaminifu kwao na kulipa madeni kikamilifu...Watanzania hatujui jinsi ya kutumia hizi fursa kikamilifu wengi tunaingiza ubabaishaji na kuwafanya wengine waaminifu tuonekane matapeli
Mpaka kufikia juzi nishafik level ya 240,000 aisee hapa naskilizia pasaka nivute mzigo mrefu nikale maisha ngorongoro
 
Back
Top Bottom