Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
- Thread starter
- #41
Sio vyote kimojawapoAh basi bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vyote kimojawapoAh basi bwana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawakati Tamaaa
Ova
Kwan ukiomba mkopo saa 8 usku wanakupa au hawakupi?Hawa jamaa nimewavulia kofia wanadai hadi saa 8 usiku
Mi walinambia wameagiza difenda ije hadi nilipo nikamatwe ila nimesubiri zaid ya week 3 difenda sijaiona [emoji23][emoji23][emoji23]
Mikwara tu mkuu mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyekamatwa na hao jamaaKwa hyo ni mikwara tu?
Madeni ya kuzongwazongwa yanakera sana.Kudai mtu hela halafu akawa anazingua huwa inaboa sana.
Binafsi sipendi kukopa ovyo ovyo, na nikikopa huwa narudisa mapema pindi nipatapo(sina historia ya kuzongwazongwa kwa kudaiwa deni)
Omba usikopeshe mtu ambaye kashazoea kuzongwa zongwa wakati anadaiwa, utajuta.Madeni ya kuzongwazongwa yanakera sana.
Nowdays,Omba usikopeshe mtu ambaye kashazoe kuzongwa zongwa wakati anadaiwa, utajuta.