Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa simba mwenyewe anawaogopa yanga itakua je.Hawa Mbwa mwitu Simba mwenyewe akiwaona lazima achane nyavu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hao mbona nakimbizaga na mwiko ule wa kusongea ugaliHawa jamaa ni shida cheki alivyomla mtoto Mama anaona halafu na Mama nae akafata
Mtoto katolewa tumboni hapo
View attachment 1928178
Dubu ana hatar gan mbona anakuaga mpole tu?Kwangu mimi Simba na Chui wanafuatia baada ya Dubu na hawa jamaa
Inategemea wa pori lipi.Ulishawahi kukutana nao au unasema ukikutana nao
Hahahaaaa, mkuu inaonesha wewe ni mtaalamu wa kula pilau!Hiyo inaitwa EATEN ALIVE haya majamaa ni noma.Bwana fisi ndo hua anajua mziki wao
umeni quote vibaya 🤣🤣Hahahaaaa, mkuu inaonesha wewe ni mtaalamu wa kula pilau!