Usiombe kukutana na mbwamwitu

Usiombe kukutana na mbwamwitu

M bwa mwitu na binadamu ni marafiki sana,nakumbuka miaka ya 90 tulienda na mjomba wangu polini kulina asali,tukiwa kambini aliingia Simba ghafula akaja akakaa miguuni kwa mjomba,sisi na wwnzangu tukiwa wasoho lakini tulikuwa tumaliza darasa la 7 tukataka kukimbia,mjomba akasema msikimbilie nje pandeni vitandani kwenu maana vitanfa tulikuwa tumetengeneza vya juu tulifunga kwa kamba kwaabanzi ya mbao, akatuambia huyu Simba atakuwa amekimbizwa na mbwa mwitu,kwa hiyo msiogope Simba hawezi kutudhulu maana hapa Simba anaona ndiyo sehemu salama ya kunusulu maisha yake,sababu mbwa mwitu anamuogopa binadamu sana,
Tulifanya hivyo aiai tukiwa juu ya vitanfa vyetu tukawa tuna mwangalia mjomba akiwa na Simba,baada ya muda mjomba akatuambia anzeni kutelwmka mmoja moja ukitoka nje tafuteni miti mpande juu kila mtu apanse mti wake,kweli tulifanya hivyo,hatimae mjomba nae alifanikiwa kujinasua mikononi mwa simba naye akatoka nje akapanfa juu ya kambi /kibanda maana juu tulikuwa tumekieseka kwa magome ya miti na tukajaza udongo kwa juu,
Tukiwa juu ya miti na mjomba akiwa juu ya kambi tuliwaona mnwa mwitu wakiizingika kambi lakini walikuwa wanaogopa kuingia ndani wakijua ndani ya kambi kinawatu wamebakia, ilikuwa saa sana mchana,tuliendelea kukaa juu ya miti hadi saa moja na nusu jioni giza likiwa limeingia ndipo kwa mbali tulimuona mjomba akikoka Moto wa mahogo nje,akatuambia telemkeni Simba amesha enda maana hata Simba anajua giza likianza mbwa mwitu lazima aende kulala huwa hawindi usiku anapumzika,kweli tilitelemka na tukaingia kambini
Mbwa mwitu Hana mashala kwa binadamu anamuogopa Sana.
Hii chai ya moto mnoo😎😎
 
Mbwa mwitu anatisha Sana,

Kumkimbia huwezi maana yeye spidi yake Ni mdogo mdogo (40km/hr),
afu Anaimantain kwa muda mrefu

Kwaiyo
Utakimbizwa mpaka maji uite "mma"

Ukichoka,
Utatafunwa ukiwabado uko hai kiungo kimoja baada ya kingine[emoji23]
 
Ubaya wa mbwa mwitu,

Akiwa mmoja huwa Hana madhara, na huwa Ni muoga na hapendi kupigana.

Ila kibaya zaidi,
Ni ngumu Sana kumkuta eti mmoja tu anazurura peke ake uku na kule.

Ukimuona yuko peke ake,
Jua jeshi lake haliko mbali na eneo lile.

Na alivo mkatili Sasa,
Akiwa mmoja akakuona, atajifanya Kama anakukimbia vile uku amefyata mkia wake ili ujione mwamba[emoji1]

Akirudi Sasa,
Atakuja na full kikosi akiwa na wavietnam wenzake[emoji23]

Itaanzishwa marathon ya kukera, mpaka utatamani ugeuke yule mkenya KIPCHONGE
 
Ubaya wa mbwa mwitu,

Akiwa mmoja huwa Hana madhara, na huwa Ni muoga na hapendi kupigana.

Ila kibaya zaidi,
Ni ngumu Sana kumkuta eti mmoja tu anazurura peke ake uku na kule.

Ukimuona yuko peke ake,
Jua jeshi lake haliko mbali na eneo lile.

Na alivo mkatili Sasa,
Akiwa mmoja akakuona, atajifanya Kama anakukimbia vile uku amefyata mkia wake ili ujione mwamba[emoji1]

Akirudi Sasa,
Atakuja na full kikosi akiwa na wavietnam wenzake[emoji23]

Itaanzishwa marathon ya kukera, mpaka utatamani ugeuke yule mkenya KIPCHONGE
😂😂😂😂😊😊😊
dah nakufa na Marathon
 
Hawa wanyama sio hatari hata kidogo kwa simba au binadamu. Labda swara ndio



Cheki ngiri mmoja anavyowapiga stop mbwa mwitu zaidi ya kumi, na zebra wanawapisha bila tatizo
 
Shida watu wanadanganywa sana, mbwa mwitu n wakali ila kwa Simba, binadamu na wanyama wakubwa wanakuwa mdebwedo
Hawa wanyama sio hatari hata kidogo kwa simba au binadamu. Labda swara ndio



Cheki ngiri mmoja anavyowapiga stop mbwa mwitu zaidi ya kumi, na zebwa wanawapisha bila tatizo


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom