Usiombe kukutana na mbwamwitu

Usiombe kukutana na mbwamwitu

Akatuambia pandeni juu ya kitanda...
Alafu akatuambia teremkeni mkapande juu ya mti kule nje...(wakati huo mbwa nao wako nje waliwapisha mkapande mtini)alafu mkamwacha mjomba wenu akiwa na simba ndani ......
Ngoja nikanywe zangu chai.
Sukari haijapanda bei huko
 
Hio ni nature ukisema umsaidie swala asiliwe ni kosa mbwa mwitu watakufa njaa.
 
Baada kuangalia video nikajiuliza, hivi wanyama hawahisi maumivu kama sisi Mamalia wenzao?
 
Nenda ukaisogelee pride ya simba kwa kigezo cha kuwa wewe ni binadamu tuone kama utachomoka mzima…
Rahisi TU.

We ukiwaona jifanye unaokota jiwe nakwambia wanaogopa jiwe hao mapaka niamini Mimi.

Kikubwa wakikimbia hata hatua nne usijifanye unawafujuza kama kuku kwa kawaida Simba ni mbishi na hapendi dharau akiona unamfukuza sana anasimama mpigane vizuri.

Jambo longine hawapendi fujo ukiona wamekupisha njia achana nao.

Point to note.. hakikusha huna woga wowote ndani Yako wale Wana uwezo was kusmell mtu mwoga na kumsoma fresh.
 
Rahisi TU.

We ukiwaona jifanye unaokota jiwe nakwambia wanaogopa jiwe hao mapaka niamini Mimi.

Kikubwa wakikimbia hata hatua nne usijifanye unawafujuza kama kuku kwa kawaida Simba ni mbishi na hapendi dharau akiona unamfukuza sana anasimama mpigane vizuri.

Jambo longine hawapendi fujo ukiona wamekupisha njia achana nao.

Point to note.. hakikusha huna woga wowote ndani Yako wale Wana uwezo was kusmell mtu mwoga na kumsoma fresh.
mzee baba Simba wanaogopa mawe???
 
😭😭😭😭😭👇👇👇👇😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😟😟😟😟😭😭😭😠😠😠😠😠😭😭😭😭😭😭🙋🙋🙋🙋🙋😭😭😭😭😭🤫🤫🤫🤫🤫😭😭😭😭😷😷😷😷😭😭😭🏃🏃🏃🏃🏃🚶🚶🚶🚶❎
 
M bwa mwitu na binadamu ni marafiki sana,nakumbuka miaka ya 90 tulienda na mjomba wangu polini kulina asali,tukiwa kambini aliingia Simba ghafula akaja akakaa miguuni kwa mjomba,sisi na wwnzangu tukiwa wasoho lakini tulikuwa tumaliza darasa la 7 tukataka kukimbia,mjomba akasema msikimbilie nje pandeni vitandani kwenu maana vitanfa tulikuwa tumetengeneza vya juu tulifunga kwa kamba kwaabanzi ya mbao, akatuambia huyu Simba atakuwa amekimbizwa na mbwa mwitu,kwa hiyo msiogope Simba hawezi kutudhulu maana hapa Simba anaona ndiyo sehemu salama ya kunusulu maisha yake,sababu mbwa mwitu anamuogopa binadamu sana,
Tulifanya hivyo aiai tukiwa juu ya vitanfa vyetu tukawa tuna mwangalia mjomba akiwa na Simba,baada ya muda mjomba akatuambia anzeni kutelwmka mmoja moja ukitoka nje tafuteni miti mpande juu kila mtu apanse mti wake,kweli tulifanya hivyo,hatimae mjomba nae alifanikiwa kujinasua mikononi mwa simba naye akatoka nje akapanfa juu ya kambi /kibanda maana juu tulikuwa tumekieseka kwa magome ya miti na tukajaza udongo kwa juu,
Tukiwa juu ya miti na mjomba akiwa juu ya kambi tuliwaona mnwa mwitu wakiizingika kambi lakini walikuwa wanaogopa kuingia ndani wakijua ndani ya kambi kinawatu wamebakia, ilikuwa saa sana mchana,tuliendelea kukaa juu ya miti hadi saa moja na nusu jioni giza likiwa limeingia ndipo kwa mbali tulimuona mjomba akikoka Moto wa mahogo nje,akatuambia telemkeni Simba amesha enda maana hata Simba anajua giza likianza mbwa mwitu lazima aende kulala huwa hawindi usiku anapumzika,kweli tilitelemka na tukaingia kambini
Mbwa mwitu Hana mashala kwa binadamu anamuogopa Sana.
Sa mbona hujasema 'hadisi' yako inatufundisha nini... [emoji23]
IMG-20170818-WA0026.jpg
JamiiForums-461489293.jpg
 
Unategemea na idadi yao pia Simba mwenyewe. Kuna movie ya wanyama Simba kaua mbwa mwitu watano wengine wamekimbia.

Itoshe kusema Simba hafi kizembe kwa hawa mbwa mwitu. Lazima nae aue kadhaa
mzee mziki wa mbwa mwitu simba wenyewe huwa wanakimbia,kwanza hawarudi nyuma wenyewe wanakuja tu
 
M bwa mwitu na binadamu ni marafiki sana,nakumbuka miaka ya 90 tulienda na mjomba wangu polini kulina asali,tukiwa kambini aliingia Simba ghafula akaja akakaa miguuni kwa mjomba,sisi na wwnzangu tukiwa wasoho lakini tulikuwa tumaliza darasa la 7 tukataka kukimbia,mjomba akasema msikimbilie nje pandeni vitandani kwenu maana vitanfa tulikuwa tumetengeneza vya juu tulifunga kwa kamba kwaabanzi ya mbao, akatuambia huyu Simba atakuwa amekimbizwa na mbwa mwitu,kwa hiyo msiogope Simba hawezi kutudhulu maana hapa Simba anaona ndiyo sehemu salama ya kunusulu maisha yake,sababu mbwa mwitu anamuogopa binadamu sana,
Tulifanya hivyo aiai tukiwa juu ya vitanfa vyetu tukawa tuna mwangalia mjomba akiwa na Simba,baada ya muda mjomba akatuambia anzeni kutelwmka mmoja moja ukitoka nje tafuteni miti mpande juu kila mtu apanse mti wake,kweli tulifanya hivyo,hatimae mjomba nae alifanikiwa kujinasua mikononi mwa simba naye akatoka nje akapanfa juu ya kambi /kibanda maana juu tulikuwa tumekieseka kwa magome ya miti na tukajaza udongo kwa juu,
Tukiwa juu ya miti na mjomba akiwa juu ya kambi tuliwaona mnwa mwitu wakiizingika kambi lakini walikuwa wanaogopa kuingia ndani wakijua ndani ya kambi kinawatu wamebakia, ilikuwa saa sana mchana,tuliendelea kukaa juu ya miti hadi saa moja na nusu jioni giza likiwa limeingia ndipo kwa mbali tulimuona mjomba akikoka Moto wa mahogo nje,akatuambia telemkeni Simba amesha enda maana hata Simba anajua giza likianza mbwa mwitu lazima aende kulala huwa hawindi usiku anapumzika,kweli tilitelemka na tukaingia kambini
Mbwa mwitu Hana mashala kwa binadamu anamuogopa Sana.
japo kuna wapumbavu watakupinga lakini mimi naamini kabisa.
Hizi situation huwa zinatokea sana kwa watu wa route za porini.

Humu yamejaa matoto ya tom and Jerry na YouTube mkuu..
 
Back
Top Bottom