incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
hata mim nimeliona hili mjomba asipotulia anaweza kukata moto katikati ya safari maana sio kwa mihemo hiiMjomba uwe unakunywa maji mengi kabla ya kuandika... pia kaa sehemu yenye hewa ya kutosha
Sukari haijapanda bei hukoAkatuambia pandeni juu ya kitanda...
Alafu akatuambia teremkeni mkapande juu ya mti kule nje...(wakati huo mbwa nao wako nje waliwapisha mkapande mtini)alafu mkamwacha mjomba wenu akiwa na simba ndani ......
Ngoja nikanywe zangu chai.
Rahisi TU.Nenda ukaisogelee pride ya simba kwa kigezo cha kuwa wewe ni binadamu tuone kama utachomoka mzima…
mzee baba Simba wanaogopa mawe???Rahisi TU.
We ukiwaona jifanye unaokota jiwe nakwambia wanaogopa jiwe hao mapaka niamini Mimi.
Kikubwa wakikimbia hata hatua nne usijifanye unawafujuza kama kuku kwa kawaida Simba ni mbishi na hapendi dharau akiona unamfukuza sana anasimama mpigane vizuri.
Jambo longine hawapendi fujo ukiona wamekupisha njia achana nao.
Point to note.. hakikusha huna woga wowote ndani Yako wale Wana uwezo was kusmell mtu mwoga na kumsoma fresh.
Mjomba uwe unakunywa maji mengi kabla ya kuandika... pia kaa sehemu yenye hewa ya kutosha
mzee baba Simba wanaogopa mawe???
Jamaa aliyeniuzia aliwahasi, hawazaaniNaweza kuwapataje mkuu connection please
Sa mbona hujasema 'hadisi' yako inatufundisha nini... [emoji23]M bwa mwitu na binadamu ni marafiki sana,nakumbuka miaka ya 90 tulienda na mjomba wangu polini kulina asali,tukiwa kambini aliingia Simba ghafula akaja akakaa miguuni kwa mjomba,sisi na wwnzangu tukiwa wasoho lakini tulikuwa tumaliza darasa la 7 tukataka kukimbia,mjomba akasema msikimbilie nje pandeni vitandani kwenu maana vitanfa tulikuwa tumetengeneza vya juu tulifunga kwa kamba kwaabanzi ya mbao, akatuambia huyu Simba atakuwa amekimbizwa na mbwa mwitu,kwa hiyo msiogope Simba hawezi kutudhulu maana hapa Simba anaona ndiyo sehemu salama ya kunusulu maisha yake,sababu mbwa mwitu anamuogopa binadamu sana,
Tulifanya hivyo aiai tukiwa juu ya vitanfa vyetu tukawa tuna mwangalia mjomba akiwa na Simba,baada ya muda mjomba akatuambia anzeni kutelwmka mmoja moja ukitoka nje tafuteni miti mpande juu kila mtu apanse mti wake,kweli tulifanya hivyo,hatimae mjomba nae alifanikiwa kujinasua mikononi mwa simba naye akatoka nje akapanfa juu ya kambi /kibanda maana juu tulikuwa tumekieseka kwa magome ya miti na tukajaza udongo kwa juu,
Tukiwa juu ya miti na mjomba akiwa juu ya kambi tuliwaona mnwa mwitu wakiizingika kambi lakini walikuwa wanaogopa kuingia ndani wakijua ndani ya kambi kinawatu wamebakia, ilikuwa saa sana mchana,tuliendelea kukaa juu ya miti hadi saa moja na nusu jioni giza likiwa limeingia ndipo kwa mbali tulimuona mjomba akikoka Moto wa mahogo nje,akatuambia telemkeni Simba amesha enda maana hata Simba anajua giza likianza mbwa mwitu lazima aende kulala huwa hawindi usiku anapumzika,kweli tilitelemka na tukaingia kambini
Mbwa mwitu Hana mashala kwa binadamu anamuogopa Sana.
mzee mziki wa mbwa mwitu simba wenyewe huwa wanakimbia,kwanza hawarudi nyuma wenyewe wanakuja tu
Sanaaaaaaamzee baba Simba wanaogopa mawe???
japo kuna wapumbavu watakupinga lakini mimi naamini kabisa.M bwa mwitu na binadamu ni marafiki sana,nakumbuka miaka ya 90 tulienda na mjomba wangu polini kulina asali,tukiwa kambini aliingia Simba ghafula akaja akakaa miguuni kwa mjomba,sisi na wwnzangu tukiwa wasoho lakini tulikuwa tumaliza darasa la 7 tukataka kukimbia,mjomba akasema msikimbilie nje pandeni vitandani kwenu maana vitanfa tulikuwa tumetengeneza vya juu tulifunga kwa kamba kwaabanzi ya mbao, akatuambia huyu Simba atakuwa amekimbizwa na mbwa mwitu,kwa hiyo msiogope Simba hawezi kutudhulu maana hapa Simba anaona ndiyo sehemu salama ya kunusulu maisha yake,sababu mbwa mwitu anamuogopa binadamu sana,
Tulifanya hivyo aiai tukiwa juu ya vitanfa vyetu tukawa tuna mwangalia mjomba akiwa na Simba,baada ya muda mjomba akatuambia anzeni kutelwmka mmoja moja ukitoka nje tafuteni miti mpande juu kila mtu apanse mti wake,kweli tulifanya hivyo,hatimae mjomba nae alifanikiwa kujinasua mikononi mwa simba naye akatoka nje akapanfa juu ya kambi /kibanda maana juu tulikuwa tumekieseka kwa magome ya miti na tukajaza udongo kwa juu,
Tukiwa juu ya miti na mjomba akiwa juu ya kambi tuliwaona mnwa mwitu wakiizingika kambi lakini walikuwa wanaogopa kuingia ndani wakijua ndani ya kambi kinawatu wamebakia, ilikuwa saa sana mchana,tuliendelea kukaa juu ya miti hadi saa moja na nusu jioni giza likiwa limeingia ndipo kwa mbali tulimuona mjomba akikoka Moto wa mahogo nje,akatuambia telemkeni Simba amesha enda maana hata Simba anajua giza likianza mbwa mwitu lazima aende kulala huwa hawindi usiku anapumzika,kweli tilitelemka na tukaingia kambini
Mbwa mwitu Hana mashala kwa binadamu anamuogopa Sana.
Mjomba muuaji huyu!!Ahahah mjomba katufunga kamba ya manila
Kwa kutudanganya na kutupotezea muda!?mwandiko haueleweki halafu stori ya uongo.tuombe radhi mkuu