Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Mnadhambi ni😀Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnadhambi ni😀Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Yaani wanaume msipomkubali mtu anaweza jinyongaðŸ¤ðŸ¤Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Ndiyo tukuache utuuze ndugu zako sababu ya mbususu 1 tena hautoondoka nayo ukushaitumia aaah.Na wewe tuache tuuze tunavyouza.
Eti jamani.Ndiyo tukuache utuuze ndugu zako sababu ya mbususu 1 tena hautoondoka nayo ukushaitumia aaah.
Mbao za kokoto mambo!😂
Jamani🤔🤔
Anakutana na mtanuko wa ajabu hadi ashindwe kuelewa kama kumechimbwa chumvi au makaa ya mawe😂😂Hajielewi huyo. Anauza ukoo halafu akishavuliwa chupi anakuta aliyodhania yamo hayamo anaanza kujuta.
Tatizo matamaaa mengi sana.
Kwani wewe unapenda sina gani ya mwanamke w8.Mleta mada afunguke, kaona nini ambacho sisi hatukuoni...
Mimi sijasema hivyo bana. Ilà mara nyingi tamaa tu zinatuendesha ila baada ya ni majuto mengi.Anakutana na mtanuko wa ajabu hadi ashindwe kuelewa kama kumechimbwa chumvi au makaa ya mawe😂😂
Hawa wanaume tuishi nao kwa akili pia, tutajikuta mikononi wa wasiojulikana kisa Mbususu 1😂Eti jamani.
Bila huruma ukoo anaugawa waaaaa kwa watu wasiojulikana
Hee kwahiyo mimi nimeongeza maneno mkuu, 😂😂 basi sawaaMimi sijasema hivyo bana. Ilà mara nyingi tamaa tu zinatuendesha ila baada ya ni majuto mengi.
Hujaongeza ila umesema ukweli unaoumiza. Imagine mtu ashauza ukoo halafu akutane na hayo mambo.Hee kwahiyo mimi nimeongeza maneno mkuu, 😂😂 basi sawaa
Ndiyo akome , na akitaka kurudi sisi kama ukoo tunamkataa abaki na mrembo wake hukoHujaongeza ila umesema ukweli unaoumiza. Imagine mtu ashauza ukoo halafu akutane na hayo mambo.
Ndio huyo huyo
Ukiona hivo kichwa kidogo kimekamata networkNimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant dadah jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi!!!
Kwani wewe unapenda sina gani ya mwanamke w8.
Kwangu na muona ni mrembo.labda hizo dharau zake ndizo zinazotia kichefu chefu