Kwa hiyo kizazi cha zakayo tunywe tu sumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa sina sana preference, isipokuwa navutiwa na tall girls 1.75m +
Honestly ni mrembo (umbo) 10/10, isipokuwa sura inamuangusha kiasi fulani 6/10
Kwa hiyo kizazi cha zakayo tunywe tu sumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji849][emoji849][emoji849] hicho kisingizio sasa...we hutupendi tu semaHahah eti kizazi cha Zakayo [emoji2960][emoji2960]
Kwa kweli, sababu njiani nitaonekana namsindikiza mdogo wangu wa mwisho mahali...[emoji30][emoji30]
kwani wee nini kimekuchanganya? matako au? nyie ndo mamende. Wala sijaona uzuri wake zaidi ya matako makubwa ambayo hata wanawake wengi tuu wanayo.Chuma hatari unaweza kufa. Niamini
Sio huyo enzi za ze utamu alitrend sana akiwa anasoma SAUT
Dogo anasumbuliwa na BALEHE huyo, achana naye mkuu.Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Yule jamaa wa Ze Utamu naamini walimzika akiwa hai aisee.
kingai alikua ameanza kazi kwani?Yule jamaa wa Ze Utamu naamini walimzika akiwa hai aisee.
Afu dizaini hiyo wakivua nguo wanatisha ni kama ngano iliyokandwa.kwani wee nini kimekuchanganya? matako au? nyie ndo mamende. Wala sijaona uzuri wake zaidi ya matako makubwa ambayo hata wanawake wengi tuu wanayo.
[emoji849][emoji849][emoji849] hicho kisingizio sasa...we hutupendi tu sema
Hakika ogopa Mungu na teknolojia.Kasumbua Sana enzi izo na ile connection yake ya hostel
[emoji2][emoji116]
acha kabisa, wee mwone tuu mwanamke akivaa nguo kapendeza, akivua ni kituko, unaweza zani umebadilishiwa.Afu dizaini hiyo wakivua nguo wanatisha ni kama ngano iliyokandwa.
Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Nimemshangaa hata kashindwa fanya ujasusi wa kizinziumekutana nae, afu unatuuliza anapatikana wapi?
Ulifeli sana sijui wahuni utawaambia nini wakati ungeshashusha comment kwa Rikiboy usiku huu huu na ukaitwa Man of the match.
Ndo huyo huyo na picha zake za hasara hasara... naona siku ameshakua!!Ndio huyo huyo