Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Basi hurumia wenzio angalau na wao wakufaidiiiHujawahi niona, na kama umewahi basi hukunitazama vizuri...
Siwezi andika kimo changu halisi kuhofia wasiojulikana hapa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hurumia wenzio angalau na wao wakufaidiiiHujawahi niona, na kama umewahi basi hukunitazama vizuri...
Siwezi andika kimo changu halisi kuhofia wasiojulikana hapa...
Unachuki kali sana nao, hakuna asiye na udhaifu...Hawa ni wachacharikaji kinouma. Yaani yupo kufanya lolote ili December asiende kudharauliwa.
Unacheza na manka kwanza Kama hauna elimu pesa ama biashara ama miradi ya maana humuoi mkuu.
Wapo wanaotoka Arusha kufuata mzigo dar. Akishafika dar kwanza anauza utamu akipata mtaji anaongezea anachukua mzigo wa maana ,fasta kwa Sai baba ama dar express kwa biashara zake Arusha.
Hao jamaa ni Wana akili ya kiutafutaji sijawahi ona ,Sasa wake afu staafu uone.
Sidhani Kama kwanza Kuna manka atakubali uishi na mtt wa ndugu sema wao kujazana kwako ni halal Ila wa kwako ni Haram shekhe
Chuki Gani ama unawaonea wivu. Ukioa manka miradi yako haifi mkuu.Unachuki kali sana nao, hakuna asiye na udhaifu...
Dooh basi inaonekana wewe ni mrefu sana mimi tukitembea wote utaonekana unamsindikiza mwanao [emoji2960][emoji2960]Hahah eti kizazi cha Zakayo [emoji2960][emoji2960]
Kwa kweli, sababu njiani nitaonekana namsindikiza mdogo wangu wa mwisho mahali...[emoji30][emoji30]
Dooh basi inaonekana wewe ni mrefu sana mimi tukitembea wote utaonekana unamsindikiza mwanao [emoji2960][emoji2960]
Mmh hebu itaje hiyo height ili nifanye comparison kabisa [emoji16][emoji16]Ni mrefu kiasi sio sana, kibongo bongo nipo above kidogooo average height ya wanaume...
Lakini kumsindikiza 'mwanao' mahali si nayo ni poa tu eenh [emoji3526]
Mmh hebu itaje hiyo height ili nifanye comparison kabisa [emoji16][emoji16]
Okeeii [emoji16][emoji16]Sio hapa labda uje chemba...
Nani huyoShemeji yetu huyo kwa mwana mmoja pale mjengoni Clouds
Ila wewe jamani kama ni vituko, kwako ni mwisho wa reliMbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Wala sio mrefu kihiivyoo sema ni mhandsome mtamu mtamu hviiiDooh basi inaonekana wewe ni mrefu sana mimi tukitembea wote utaonekana unamsindikiza mwanao [emoji2960][emoji2960]
Hadi mpande kwenye vistuli saa ngapi😂😂😂Kwa hiyo kizazi cha zakayo tunywe tu sumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Hamna lolote hapo !Hapa kidogo kanishawishi hasa huku nyuma
Ile mtoto wa Kinyanki una kijungu amazing. Total advantageHadi mpande kwenye vistuli saa ngapi😂😂😂