Usiombe kukutana na Nsia Swai

Usiombe kukutana na Nsia Swai

Hawa ni wachacharikaji kinouma. Yaani yupo kufanya lolote ili December asiende kudharauliwa.
Unacheza na manka kwanza Kama hauna elimu pesa ama biashara ama miradi ya maana humuoi mkuu.
Wapo wanaotoka Arusha kufuata mzigo dar. Akishafika dar kwanza anauza utamu akipata mtaji anaongezea anachukua mzigo wa maana ,fasta kwa Sai baba ama dar express kwa biashara zake Arusha.
Hao jamaa ni Wana akili ya kiutafutaji sijawahi ona ,Sasa wake afu staafu uone.
Sidhani Kama kwanza Kuna manka atakubali uishi na mtt wa ndugu sema wao kujazana kwako ni halal Ila wa kwako ni Haram shekhe
Unachuki kali sana nao, hakuna asiye na udhaifu...
 
Unachuki kali sana nao, hakuna asiye na udhaifu...
Chuki Gani ama unawaonea wivu. Ukioa manka miradi yako haifi mkuu.
Nimekuambia wako poa Sana kiutafutaji.ukirudi kabla ya kupewa utamu lazima uulizwe kuwa umeingiza Bei gani.
Mie nawapenda walivyo watafutaji wako radhi hata kumwaga damu ya mtu ilimradi hela tu mkuu.
Afu mie Bibi yangu kizaa mama anatokea Bima ng'ombe akaolewa na mmeru afu baba akaoa umeruni.
 
Hahah eti kizazi cha Zakayo [emoji2960][emoji2960]

Kwa kweli, sababu njiani nitaonekana namsindikiza mdogo wangu wa mwisho mahali...[emoji30][emoji30]
Dooh basi inaonekana wewe ni mrefu sana mimi tukitembea wote utaonekana unamsindikiza mwanao [emoji2960][emoji2960]
 
Dooh basi inaonekana wewe ni mrefu sana mimi tukitembea wote utaonekana unamsindikiza mwanao [emoji2960][emoji2960]

Ni mrefu kiasi sio sana, kibongo bongo nipo above kidogooo average height ya wanaume...

Lakini kumsindikiza 'mwanao' mahali si nayo ni poa tu eenh ☺️
 
Ni mrefu kiasi sio sana, kibongo bongo nipo above kidogooo average height ya wanaume...

Lakini kumsindikiza 'mwanao' mahali si nayo ni poa tu eenh [emoji3526]
Mmh hebu itaje hiyo height ili nifanye comparison kabisa [emoji16][emoji16]
 
Sasa mkuu kama huyo kakusumbua vichwa vyote viwil yaani cha juu na cha chini, je huyu mtoto wa kizanzibar si utapagawa wewe?!
20220127_205557.jpg
View attachment 2097684
 
Back
Top Bottom