Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Hata mimi nilikuwa na hiyo nokia 6030Nilikua form 5 enzi hizo simu nayotumia ni nokia 6030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nilikuwa na hiyo nokia 6030Nilikua form 5 enzi hizo simu nayotumia ni nokia 6030
Hio ndio ilikuwa inabamba sana enzi zile kitu cha Hungary nilinunua 85000 mpya kkoo pesa ya pocket money miezi 8iliniuma ila school nilionekana wa kishuaHata mimi nilikuwa na hiyo nokia 6030
Mimi nilimvua jamaa flani hapo shule alikuwa anabadili simu yeye alikuwa na n70 nadhani, kumbe alikuwa ana deal na wezi wa simu za town analeta shule anatuuzia halafu anatuibia shule anaenda kuwauzia townHio ndio ilikuwa inabamba sana enzi zile kitu cha Hungary nilinunua 85000 mpya kkoo pesa ya pocket money miezi 8iliniuma ila school nilionekana wa kishua
Cha msingi ni kuvumiliana.Hahah...hell no, huyo tabia zake zinamfaa mwenyewe
Cha msingi ni kuvumiliana.
Kwahiyo nimeshakukosa watu8
Maisha kuvumiliana.hapana sina staha zakeHahah huwezi vumilia shika kaa la moto...
Kwani nawe una staha kama za Nsia?
HehehehMimi nilimvua jamaa flani hapo shule alikuwa anabadili simu yeye alikuwa na n70 nadhani, kumbe alikuwa ana deal na wezi wa simu za town analeta shule anatuuzia halafu anatuibia shule anaenda kuwauzia town
Eti tuwaachie akina nani??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona ana kichwa kidogo kama cha nyoka
Nimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant.
Jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi?
Katafute hela ndo urudiChuma hatari unaweza kufa. Niamini
Eti tuwaachie akina nani??
😜😜acha basi mwamba..
Unafahamu kile kigaloni cha maji watu8…eheee huo ndo urefu ndugu yangu
Sasa mbona ww sio mrefuu[emoji56][emoji56][emoji1787][emoji1787]