DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ha ha ha...wee jamaa bhana[emoji4]Tulio Nyetoni siyo kama tunapenda
Huko mahusianoni, Unapigwa Mizinga si mchezo
siku ya Game unapigwa na UTI juu ukakomae na Azuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha...wee jamaa bhana[emoji4]Tulio Nyetoni siyo kama tunapenda
Huko mahusianoni, Unapigwa Mizinga si mchezo
siku ya Game unapigwa na UTI juu ukakomae na Azuma
Kwamba mtoa mada avune alichopanda[emoji28]Kila mtu hupata wa kufanana naye
Mkuu,niliomba namba usiku usiku umeme ukiwa umekatika hata sura sijamuonq vizuri..
asubuhi tu saa moja ananiomba elfu 10 aende hospitali eti anaumwa..
nikamwambia najiandaa nikupeleke mwenyewe hospital akakataa kata kata yeye anataka Pesa tu qumamake..
NAKAZIAMapenzi hayaendeshwi kwa risala, kuna gharama haziepukiki. Ila kuna wale wanavuka mipaka mpaka inakuwa kibiashara.
Cha kufanya ongeza kasi ya kuomba namba mpaka upate wa kufanana nae.
#usitishike #jiamini #pigachiniwasumbufu #dunianiyetu #maishamafupi #sisindiosisi #usiishikinyonge #misimamomuhimu #balansishobo #tutafutepesa #achakufurahishawatu #wekamipaka