Ah ah ah ah nimecheka kama mazur poleacha tuuu umenikumbusha mbali sana aise nilisumbuliwa na tumbo ilikuwa appendicity. ilikuwa bado kidogo ipasukie tumboni kwenda hospital nikamkuta nesi mdogo ata mimi nimemzidi kiumri eti ndie alieniaandaa ili niingizwe chumba cha upasuaji....dah siku na jinsi yule dada aliishika ikulu yangu akaingiza mpira maalum ghafra mkojo ukaanza kutoka wenyewe baada ya huo mpira kuingizwa. sio siri hadi leo nalikumbuka hilo tukio na kila nikimuona huyo dada najikuta nacheka tuu maana alifanikiwa kuyaona maungo yangu
Catherization inaitwa...Umri ktk udaktar sio kigezo...muhimu ajue anachokifanya NA kikubwa zaid kinachotakiwa ktk hii fani ni confidentiality.acha tuuu umenikumbusha mbali sana aise nilisumbuliwa na tumbo ilikuwa appendicity. ilikuwa bado kidogo ipasukie tumboni kwenda hospital nikamkuta nesi mdogo ata mimi nimemzidi kiumri eti ndie alieniaandaa ili niingizwe chumba cha upasuaji....dah siku na jinsi yule dada aliishika ikulu yangu akaingiza mpira maalum ghafra mkojo ukaanza kutoka wenyewe baada ya huo mpira kuingizwa. sio siri hadi leo nalikumbuka hilo tukio na kila nikimuona huyo dada najikuta nacheka tuu maana alifanikiwa kuyaona maungo yangu
I did barium iko poa ila itabidiuache kucheka cheka mbele za watu maana ukicheka tu unahara!ule uji noma mi uli upset tumbo kwa siku mbili unahara bila maumivu any thing can triger uhalo!Oesophago-gastroDuodenoscopy(OGD) kipimo hiki hutumika kupiga picha ya oesophagus,na utumbo mdogo wa mwanzo kutazama kama kuna matatizo yoyote kama vidonda au vivimbe.
Mbadala wa njia hii ni kunywa Barium then picha ikapigwa kea nje kwa x-ray.
Lakini faida ya OGD ni kuwa inaweza kutumika kuondoa vivimbe(polyps) endapo vitabainika kuwepo.
Kuhusu wazungu, kipimo hicho hutumika sana na nchi zilizoendelea kuliko hata huku kwetu, kwa hiyo usiogope kipimo hiki kiko very accurate, kinaweza kudetect hata kesi ambazo barium method haiwezi.
Kuandaa mgonjwa kwenda theatre ni kazi nesi sio daktari. Umri katika fani yoyote si kigezo na sio katika afya pekee.Catherization inaitwa...Umri ktk udaktar sio kigezo...muhimu ajue anachokifanya NA kikubwa zaid kinachotakiwa ktk hii fani ni confidentiality.
sasa kwani vifaa si vinatoka nji zilizoendelea?pole kuna vitu vingine haviepukikiJana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr.ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.
Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana,hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri,huwezi kuongea,huwezi kutema wala kumeza mate,macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana,hakuna ganzi kwenye kukata roho.
Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.
Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze,je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine?Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya!
By The Way.Kuuliza c ujinga Btw ndio nini? Nimehis labda ni between akili ikakataa, but hyo w isingekuwepo
Endoscope hiyo, muhimbili jengo la Magonjwa ya moyo pale ndo mahala kinapatikana hicho kipimo daah hatari nilifanyiwa hiyo kipimo mwaka jana,na baada ya dozi ilitakiwa nirudie kupima tena dooh niligoma nashukuru dr wangu aliekua ana nitibu alinielewa.noma sana hicho kipimo noma sana aisee!Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr.ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.
Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana,hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri,huwezi kuongea,huwezi kutema wala kumeza mate,macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana,hakuna ganzi kwenye kukata roho.
Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.
Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze,je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine?Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya!
aisee ila nitamtafuta huyo dada ili nikamuonyeshe rasmi kazi ya hicho kidude alichokiona kipindi nipo mahututiCatherization inaitwa...Umri ktk udaktar sio kigezo...muhimu ajue anachokifanya NA kikubwa zaid kinachotakiwa ktk hii fani ni confidentiality.
acha tu nilitamani kumwambia aniache aje nesi wa kiume ila ata nguvu za kunyanyua mdomo nilikosa nikabaki namtizama tu afanye anachowezaAh ah ah ah nimecheka kama mazur pole
Ugonjwa hauna adabu kabisaacha tu nilitamani kumwambia aniache aje nesi wa kiume ila ata nguvu za kunyanyua mdomo nilikosa nikabaki namtizama tu afanye anachoweza
Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr.ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.
Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana,hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri,huwezi kuongea,huwezi kutema wala kumeza mate,macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana,hakuna ganzi kwenye kukata roho.
Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.
Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze,je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine?Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya!
Endoscope hiyo, muhimbili jengo la Magonjwa ya moyo pale ndo mahala kinapatikana hicho kipimo daah hatari nilifanyiwa hiyo kipimo mwaka jana,na baada ya dozi ilitakiwa nirudie kupima tena dooh niligoma nashukuru dr wangu aliekua ana nitibu alinielewa.noma sana hicho kipimo noma sana aisee!
BTW pole sana mkuu!!
Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr.ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.
Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana,hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri,huwezi kuongea,huwezi kutema wala kumeza mate,macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana,hakuna ganzi kwenye kukata roho.
Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.
Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze,je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine?Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya!
Nilipata majibu kwamba sina Ulcers lakini kwa mujibu wa vipimo vingine nilivyopima niligundulika nina kiasi kikubwa cha Acid mwilini na kuna vijimawe vidogo vidogo kwenye figo,so nipo kwenye dozi mkuu.sasa ila ulipata surunu ua tatizo lako?
Pia hilo lilikuwa jaribio langu la kwanza mwaka jana mwanzoni nilifanyiwa upasuaji wa kuondoa appendicy,baada ya kufanyiwa niliporudishwa wodini nikawa siwezi kunyanyuka kwenda haja ndogo ndio nikawekewa huo mpira kwa ajili ya kutolea mkojo.Aisee kumbe ile tundu ya mbele ya uume inatanuka sana.Kwa kweli unapoingizwa ule mpira unasikia maumivu sana,ila balaa zaidi la maumivu linakupata pale unapokuja kuchomolewa ule mpira.Uwiiiii!acha tuuu umenikumbusha mbali sana aise nilisumbuliwa na tumbo ilikuwa appendicity. ilikuwa bado kidogo ipasukie tumboni kwenda hospital nikamkuta nesi mdogo ata mimi nimemzidi kiumri eti ndie alieniaandaa ili niingizwe chumba cha upasuaji....dah siku na jinsi yule dada aliishika ikulu yangu akaingiza mpira maalum ghafra mkojo ukaanza kutoka wenyewe baada ya huo mpira kuingizwa. sio siri hadi leo nalikumbuka hilo tukio na kila nikimuona huyo dada najikuta nacheka tuu maana alifanikiwa kuyaona maungo yangu
Mbona walisema wanatumia kidolemi nilifikiri umepimwa tezi dume