Usiombe uende hospitali ukafanyiwa kipimo hiki cha OGD

Usiombe uende hospitali ukafanyiwa kipimo hiki cha OGD

Pamoja na kusokomezwa hilo li-mpira lakini majibu ya kipimo yalionyesha sina Ulcers.Ndio maana nikajiuliza hakuna njia nyingine za kitaalamu kugundua tatizo hilo bila kutumbukiziana hayo mavitu tukatiana mikwaruzo tu,halafu mwisho wa siku majibu yanaonesha "Normal".
Kama umepata mikwaruzo tumboni, basi ndio utakuwa umeachiwa vidonda vya tumbo
 
Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr. ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.

Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana, hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri, huwezi kuongea, huwezi kutema wala kumeza mate, macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana, hakuna ganzi kwenye kukata roho.

Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.

Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze, je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine? Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya.
Pole mkuu.
 
Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr. ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.

Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana, hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri, huwezi kuongea, huwezi kutema wala kumeza mate, macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana, hakuna ganzi kwenye kukata roho.

Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.

Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze, je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine? Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya.
Yaani homa tu na tumbo ndo wamekusokomeza huo mdude!!

Enhe vipi majibu yalisema una ulcers au GERD?
 
Mkuu wewe umepona? Na mm nilifanyiwa icho kipimo na nikapewa dozi ya miezi kama miwili,lakini imejirudia
Kiasi niko poa coz maharage, kachumbari nakula sema kuna kipindi huwa inajirudia so nacontrol misosi na stress baada ya muda nakua normal!!
 
Hahahaha mimi nilipimwa Hindu Mandal mpaka yule dokta mhindi (mzee hivi) akanisifu sana na wale manesi..mana I was overly calm!!!!

Ila inakera sana especially during and after the procedure!!!!

Pole mkuu...
 
Kiasi niko poa coz maharage, kachumbari nakula sema kuna kipindi huwa inajirudia so nacontrol misosi na stress baada ya muda nakua normal!!
Dah!! Hata mm unazingua kuna muda,ivi solution ya kupona kabobs hamna zaidi ya kupoza kwa muda tu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipewa na ganzi duu kile kipimo ni kavu kavu hawatoagi ganzi we una bahati lakini hakitishi kiivo
 
Hata mm nilipiwa icho kipimo ni noma unameza dude kama vile chatu anameza chatu mwezake
 
Kiasi niko poa coz maharage, kachumbari nakula sema kuna kipindi huwa inajirudia so nacontrol misosi na stress baada ya muda nakua normal!!

Pole mkuu; embu nambie ulikuwa unapata dalili zipi kabla ya matibabu, mana nikiwa stressed kuna hali huwa najisikia tumboni, nilienda hospital wakanipa dawa za minyoo, nilitumia nikawa poa ila baadae nikagundua Ina uhusiano na akili
 
dah. walinipiga hicho kipimo kwenye clinic fulani karibu na Al Muntazir. kinatesa sana.
dah. walinipiga hicho kipimo kwenye clinic fulani karibu na Al Muntazir. kinatesa sana.
dah. walinipiga hicho kipimo kwenye clinic fulani karibu na Al Muntazir. kinatesa sana.
napafaham pale panaitwa Alfa wako vizuri sana nami nilifanyiwa pale sitosahau nilivyotema mimate kama roho inatoka vile pumzi zinakata
 
Kaka mimi nilishapitia hicho kipimo nilipata shida sana kama shuhuda anavyosema mpaka ilibidi nirudi kuapologize kwa Dk. na nurse baadaye. Ikiwa kuna kufanyiwa tena ikawepo hiyo option ya kwingine ningekubali ili niendlee kupumua. Maumivu yake huwa zaidi ya siku nne.
Pole sana mkuu...me ni dada
 
Pamoja na kusokomezwa hilo li-mpira lakini majibu ya kipimo yalionyesha sina Ulcers.Ndio maana nikajiuliza hakuna njia nyingine za kitaalamu kugundua tatizo hilo bila kutumbukiziana hayo mavitu tukatiana mikwaruzo tu,halafu mwisho wa siku majibu yanaonesha "Normal".
Pole sana mkuu, wakati nchi zingine wanapiga hatua kwenye technology ya tiba sie twatumbuana majipu!
Vipimo vya kisasa kama ct scan na (ultrasound abdominal exploration) hivi vipimo vya endoscopy na barium meal x ray ni vya zamani sana hivi!
 
M nilifanyiwa Hindu mandal na selian hospital yan sitaman tena maana kipimo hk n kipya kwny baadhi ya hospital kW hyo wana force kumpima MTU ili wapate faida maana selian Nili waeleza tayar nimepma 3wek agos wakasema subir tuhakik lol yan sikutaman nirudiwe ila shida ugonjwa auna adabu
Ni bei gani kupimwa Ogd?
 
Back
Top Bottom