GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,225
Seliani walikuchojoa kama laki mbili na nusu hivi naaminiM nilifanyiwa Hindu mandal na selian hospital yan sitaman tena maana kipimo hk n kipya kwny baadhi ya hospital kW hyo wana force kumpima MTU ili wapate faida maana selian Nili waeleza tayar nimepma 3wek agos wakasema subir tuhakik lol yan sikutaman nirudiwe ila shida ugonjwa auna adabu