Seliani walikuchojoa kama laki mbili na nusu hivi naaminiM nilifanyiwa Hindu mandal na selian hospital yan sitaman tena maana kipimo hk n kipya kwny baadhi ya hospital kW hyo wana force kumpima MTU ili wapate faida maana selian Nili waeleza tayar nimepma 3wek agos wakasema subir tuhakik lol yan sikutaman nirudiwe ila shida ugonjwa auna adabu
Walikufanyia nn wakakudanganya ni kipimo? DohKuna kipimo kingine huwa kinaingizwa huko nyuma kina kamera mbele hicho nadhani kina afadhali
Icjekuwa ilikuwa dildo heheheWalikufanyia nn wakakudanganya ni kipimo? Doh
ACHA TU NDUGU YANGU...MAMBO HAYO USIKIE TU KWA MWENZIO AKIKUHADITHIA.Pia hilo lilikuwa jaribio langu la kwanza mwaka jana mwanzoni nilifanyiwa upasuaji wa kuondoa appendicy,baada ya kufanyiwa niliporudishwa wodini nikawa siwezi kunyanyuka kwenda haja ndogo ndio nikawekewa huo mpira kwa ajili ya kutolea mkojo.Aisee kumbe ile tundu ya mbele ya uume inatanuka sana.Kwa kweli unapoingizwa ule mpira unasikia maumivu sana,ila balaa zaidi la maumivu linakupata pale unapokuja kuchomolewa ule mpira.Uwiiiii!
EEHH unasema kipimo hiki kuna kingine kinaitwa kipimo cha Mirija ya wanawake weee utapiga kelele zoteeJana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr.ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa OGD.
Mungu wangu!Katika siku nilihisi roho yangu inatengana na mwili ilikuwa jana,hicho kipimo unaingizwa "li-mpira"jeusi kubwa mdomoni linasokomezwa mpaka tumboni kwa muda kama wa dakika mbili au tatu.Kwa kipindi hicho huwezi kupumua vizuri,huwezi kuongea,huwezi kutema wala kumeza mate,macho yanakutoka kama fundi saa kapoteza nati.Yaani ni mateso jamani.Hayo yote yanafanyika baada ya kupuliziwa dawa ya ganzi lakini wapi bwana,hakuna ganzi kwenye kukata roho.
Na ndio maana kipimo hiki unatakiwa ufanyiwe kabla hujala chochote maana ukitumbukizwa ule mpira ni lazima utapike.Yaani leo hii nahisi ile mikwaruzo ya ule mpira bado ipo kuanzia kooni mpaka kwenye utumbo.Aisee sitakubali nifanyiwe hii kitu labda niwe mahututi sijitambui.
Labda wataalamu wa mambo haya mnijuze,je hata huko kwa wenzetu kwenye nchi zilizoendelea wanatumia njia hii ya kutumbukizana madude haya tumboni au kuna njia nyingine?Maana siamini kama mzungu anaweza kuvumilia mateso haya!
Je kingekuwa cha kupitishia kule kwingine? Pole mkuu kwa maumivu...
Mkuu wewe umepona? Na mm nilifanyiwa icho kipimo na nikapewa dozi ya miezi kama miwili,lakini imejirudiaEndoscope hiyo, muhimbili jengo la Magonjwa ya moyo pale ndo mahala kinapatikana hicho kipimo daah hatari nilifanyiwa hiyo kipimo mwaka jana,na baada ya dozi ilitakiwa nirudie kupima tena dooh niligoma nashukuru dr wangu aliekua ana nitibu alinielewa.noma sana hicho kipimo noma sana aisee!
BTW pole sana mkuu!!
Mm walinifanyia bila ya ganziOGD stands for oesophago-gastro-duodenoscopy, sometimes also called a gastroscopy. An OGD test is performed for both diagnostic and therapeutic reasons. The test is commonly done with sedation.
se·da·tion
səˈdāSH(ə)n/
noun
Next time, make sure wanakupa ''Nusu kaputi'' na si ganzi tena ya kupuliziwa
- the administering of a sedative drug to produce a state of calm or sleep.
"he was distraught with grief and under sedation"
Dozi ya muda gani mkuu?Nilipata majibu kwamba sina Ulcers lakini kwa mujibu wa vipimo vingine nilivyopima niligundulika nina kiasi kikubwa cha Acid mwilini na kuna vijimawe vidogo vidogo kwenye figo,so nipo kwenye dozi mkuu.
Hahaaaaa pole ndo ukiumwa aibu pembeniacha tuuu umenikumbusha mbali sana aise nilisumbuliwa na tumbo ilikuwa appendicity. ilikuwa bado kidogo ipasukie tumboni kwenda hospital nikamkuta nesi mdogo ata mimi nimemzidi kiumri eti ndie alieniaandaa ili niingizwe chumba cha upasuaji....dah siku na jinsi yule dada aliishika ikulu yangu akaingiza mpira maalum ghafra mkojo ukaanza kutoka wenyewe baada ya huo mpira kuingizwa. sio siri hadi leo nalikumbuka hilo tukio na kila nikimuona huyo dada najikuta nacheka tuu maana alifanikiwa kuyaona maungo yangu
Pole sana mkuuPia hilo lilikuwa jaribio langu la kwanza mwaka jana mwanzoni nilifanyiwa upasuaji wa kuondoa appendicy,baada ya kufanyiwa niliporudishwa wodini nikawa siwezi kunyanyuka kwenda haja ndogo ndio nikawekewa huo mpira kwa ajili ya kutolea mkojo.Aisee kumbe ile tundu ya mbele ya uume inatanuka sana.Kwa kweli unapoingizwa ule mpira unasikia maumivu sana,ila balaa zaidi la maumivu linakupata pale unapokuja kuchomolewa ule mpira.Uwiiiii!
Emie hicho kipimo cha mirija ya wanawake kinapima niniEEHH unasema kipimo hiki kuna kingine kinaitwa kipimo cha Mirija ya wanawake weee utapiga kelele zotee
Haaaa kwa hyo JK nae alitempa?Si bora ya hicho! Nasikia ukifanyiwa cha tezi dume unaweza kuwa mteja wa vilainishi.