Usiombe ukatolewa out na Mwanaume Mhasibu

Usiombe ukatolewa out na Mwanaume Mhasibu

Inawezekana tatizo sio profession yake bali namna mwanamke ali behave alipotolewa out.

Profession ya mwanamme sio sababu ya kumchukulia tofauti na alivyo. Mfano if he is a mechanic I will treat him like shit....at the end of the day a man is still a man.
Hata mimi sioni uhusiano wa kazi yake mwanaume na kilichotokea.
Inawezekana huyo mwanamke alikuja kwa nyodo halafu mshikaji akachekecha akaona hakuna manufaa atayapata ya baadae akaona hiyo laki na nusu ni hasara tu kwake.
Wajanja wa mjini huwa hawakurupuki kwa ajili ya kumshobokea demu,huwa wanachekecha kwanza yaliyomo yamo.
 
Huyo kweli muhasibu...wahasibu tunaenjoy tunapo ona account inabalance....dr 75 and cr 75 sawi kabisaa
 
Yani! hii nmetoka kuongelea leo na mashikaji mmoja kuna jamaa angu muhasibu wa Moro viwandani uko siku kanifuata tukapige maji si eti likaanza kuhesabu bia mara ya kwanza ya pili hela inamuuma toka hapo nilimshusha sana hili linaukweli kabisa vihasibu vingi ni vibahili
 
Mimi huwa nawashauri wanaume ambao wako katika kuanzisha uhusiano wenye future .

Mwanaume jishushe usijioneshe kuwa na pesa utapata mwanamke fake asiyekupenda kwa dhati bali pesa yako!

Mwanamke akikuuliza unafanya kazi wapi mwambie kuwa wewe ni mwalimu wa primary au sekondari kwa mfano uone kama anamapenzi ya kweli atakukubali hivyo hivyo.

Mwanaume ukimwambia Mwanamke unafanyakazi TRA au BOT , Bank , Mhasibu n.k atakuganda, ata pretend kukupenda kumbe sababu ya maslahi na wala siyo Upendo wa dhati toka moyoni.

Tafakarini.

Wanaume wachache ninaowapenda kama upendo wa ndugu huwa nawashauri hivyo!
mkuuuu pisi kali mwalimu wa primary utapata kweli ugwadu utakuuwa mwaka mzima nakwambia
 
Kwa hyo ni fani gani ambayo haina wabahili mkuu?
Yani! hii nmetoka kuongelea leo na mashikaji mmoja kuna jamaa angu muhasibu wa Moro viwandani uko siku kanifuata tukapige maji si eti likaanza kuhesabu bia mara ya kwanza ya pili hela inamuuma toka hapo nilimshusha sana hili linaukweli kabisa vihasibu vingi ni vibahili
 
Back
Top Bottom