Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
Alimdanganya apate nyama sio?! ๐Huyo sio Accountant kabisa....! Alimdanganya dada wa watu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hatuna mambo ya kiswaz๐๐๐ACCA uzungu mwingi.
Nishakubali kuinywa tena nkashushia na maandazi ndomana nkauliza huyo rafiki yako nayeye anaamini katika Haki sawa baina ya ke na me??Kama ni chai weka sukari unywe
Why are u here?! Kama sio umbea wako.
Tupishe sie wahasibu tunajambo letu hapa
Anhaa hapo sawa.Anaona NI upuuzi mtupu
Kwiyo hiyo kwiyoKucheka huko kwiyoo??
Hata mimi sioni uhusiano wa kazi yake mwanaume na kilichotokea.Inawezekana tatizo sio profession yake bali namna mwanamke ali behave alipotolewa out.
Profession ya mwanamme sio sababu ya kumchukulia tofauti na alivyo. Mfano if he is a mechanic I will treat him like shit....at the end of the day a man is still a man.
Salama Habari yakoMambo mrembo
Anhaa yani kwa mfano kuhongwa,bills,kuchakalika hapo ni mzigo wa meDepends on the situations [emoji124][emoji124]
SafiiSalama Habari yako
Umetumia teknik nzuri.... Una anzisha uzi halafu unatia koment kwa chini[emoji23] [emoji23] [emoji23]We utakuwa mhasibu bila Shaka[emoji23][emoji23][emoji23]
mkuuuu pisi kali mwalimu wa primary utapata kweli ugwadu utakuuwa mwaka mzima nakwambiaMimi huwa nawashauri wanaume ambao wako katika kuanzisha uhusiano wenye future .
Mwanaume jishushe usijioneshe kuwa na pesa utapata mwanamke fake asiyekupenda kwa dhati bali pesa yako!
Mwanamke akikuuliza unafanya kazi wapi mwambie kuwa wewe ni mwalimu wa primary au sekondari kwa mfano uone kama anamapenzi ya kweli atakukubali hivyo hivyo.
Mwanaume ukimwambia Mwanamke unafanyakazi TRA au BOT , Bank , Mhasibu n.k atakuganda, ata pretend kukupenda kumbe sababu ya maslahi na wala siyo Upendo wa dhati toka moyoni.
Tafakarini.
Wanaume wachache ninaowapenda kama upendo wa ndugu huwa nawashauri hivyo!
Yani! hii nmetoka kuongelea leo na mashikaji mmoja kuna jamaa angu muhasibu wa Moro viwandani uko siku kanifuata tukapige maji si eti likaanza kuhesabu bia mara ya kwanza ya pili hela inamuuma toka hapo nilimshusha sana hili linaukweli kabisa vihasibu vingi ni vibahili
Inategemea unafanya kazi kampuni ganAisee ,wahasibu mliopo humu ni ya kweli haya๐๐
Wanenguaji na wanamziki
Kwa sasa sijui huko baadae
Za mhasibu zinakuwaje sasa