Usiombe ukatolewa out na Mwanaume Mhasibu

hapana inakuwaga hivi,kwa mfano mnenguaji ameajiriwa na bendi kwa mwezi mshahara laki 5.
Sasa anapoenda jukwaani kucheza kuna washabiki wataenda kumtunza akipata laki 1 hii ndio hela ya kulia bata na kuhonga kwa sababu alipewa tu washabiki
Na mnenguaji ananengua kwenye maandalizi Miezi 3
Bora mnenguaji kuliko mkalia kiti(mhasibu)
 
Huyo mbona alikuwa mstaarabu watu huwa tunapiga mahesabu ulivyotumia unalipa mwenyewe![emoji23]
 
No hiyo nimetolea mfano tu japo wapo wanaolipwa chini ya hapo na pia wapo wanaolipwa zaidi ya hiyo.
Fuatilia wanenguaji wa Diamond platinum wanalipwa pesa ngapi kwa mwezi halafu ndio utajua
Doh wanenguaji wanalipwa bei kubwa, laki 5?!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 


Anayeomba kwenda out should take responsibility ya cost, mwingine akipenda, hili halihusiani na Uhasibu...

Unapo suggest jambo unalibeba ki gharama....
 
Unarokewa out Muda wote unachati tu na mabwan zako Mara unyanyuke ukaongee pembezoni upuuzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…