Usiombe yakukute yaliyonikuta

Some time wanawake mkipendwa na mkajua mnajipa thamani kuliko mwanzo, samahani labda waweza kutupa sababu ya kutengana kwenu!
 
Halafu bina kama namfahamu huyo jamaa
 
,m[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]achaaaaaaa
 
Sababu ya kutengana ni siri yetu
Vizuri, lakini kuna dada mmoja alinieleza maelezo kama uliyoyasema wewe, kumbe ilikuwa ni kweli ana mimba hivyo alitaka mimi nisijue chochote ili akitaka kuitoa nisimchukie kwamba alitoa mimba yangu, ninyi wanawake mna elimu dunia nyingi sana!
 
Hayo mambo hutokeaga sana hasa kwa watu ambao mzunguko upo kamili ikitokea umepitiliza kidogo na unajua uliyofanya basi unatamani ht ukienda chooni uchokonoe na kijiti vitoke lkn wapi.. Hali huwa mbya sana hiyo alfu unajikuta na dalili za hedhi zinakata eeeh na usingiz usiku unapaa. Ikitokea,! unajiapia kwa Mungu hutakaa urudie tena, cha ajbu ikishaisha tu hata hukumbuki tena ahadi hyo na Mungu. Mmh mambo magumu haya.
 
Wewe mtoto, unajua hapa nilipo umesababisha agamaagama lizard wangu anagonga kichwa kwenye mwamba? Utanisaidiaje sasa doll?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…