Usiombe yakukute yaliyonikuta

Nilisha wahi kucoment hivi "mwanamke akikukataa baadae akarudi ujue amekuja kwa mambo mawili kukumaliza au kukupa mzigo wa hatr"
 
Ni wao mkuu. Kila jambo na wakati wake na majira yake.
Wanaotamani wapo katika wakati na majira yao!!
Kwangu wakati bado japo pia siwezi kutoa nikipata.
malizia stori sasa umemsamehe au amekula total ban?
 
Sawa
 
Afu hapa mnakuja na story za "mwanaume hanifikishi" wakati mawazoni mwako unamtaka justine baibe.
 
Mimi hapa shoga ...yaani huwa naumia sana nikinunua kipimo cha mimba halafu majibu yatoke empty daaah
 
Hahahaha lipugiii
 
Ishanikuta sana hii ....kibaya ukiwa na hofu ya mimba unajikuta una dalili zote na mate unaanza kutematema
 
Za wanaume pia anazo.
Si ulisikia anajua hadi wanaume wenye vibamia?[emoji12] [emoji12]
Karibu tusherekee pamoja.



Ikianza kufikia picha za vibamia hapo inabidi iundwe kamati ya dharura hahahaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…