Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Bayaaa uje tsap nikutumie lipicha lake mweee jeusi bayaa nakwambia weeee
Nani huyo?Za wanaume pia anazo.
Si ulisikia anajua hadi wanaume wenye vibamia?[emoji12] [emoji12]
Karibu tusherekee pamoja.
Sio wote mie wangu hakuwaga na sura mbaya tena alikua mkurya......ila lina gubu sijawahi ona dunianiWanajeshi wana misura mibaya
Hapo unawaza heri ningesubiri tuuu ila ndo vile hofu huwa inakuandama mpaka unapandwa na pressure ...ukijima joto unaona kabisa limepandaInauma, sasa unajiuliza nimenunua ya nini sasa.
Jamanii ngoja nikamsake nimjueBwana pepsi
KabisaaaUnawaza ungeongezea hapo si ununua pedi[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Lina gubu hujawahi ona mfano toaSio wote mie wangu hakuwaga na sura mbaya tena alikua mkurya......ila lina gubu sijawahi ona duniani
"Nimeamua kurudiana nae"[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] swali je nini nini kilichokunyong'onyesha?
HahahahahaLina gubu hujawahi ona mfano toa
HahahahahNi hili hili li mganga??