Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Mimi nadhani mtu nunua gari unalolijua. Ukishindwa sana nunua kwa mwenye tatizo la kifedha mfano mikopo, fedha ya matibabu au ada ya shule/chuo.
Ukishindwa sana nenda car wash au Bar utapata tu chuma nzuri
Hapo kwenye mkopo ndio wanapopigwa
Utadanganywa jamaa anamkopo kashindwa kulipa kumbe kimeo kiko sokoni mwaka mzima kimekosa soko