Usipende kununua magari yaliyotumika Tanzania

Usipende kununua magari yaliyotumika Tanzania

Sina Ndoto ya kuaguza gari nje wala nini, yaani nina hela zangu mkononi halafu nianze kusubiri gari miezi, nikifa wkt gari ipo njiani je!? Haya tufanye imefika nimetoa mil20 zangu gari siku ya kwanza tu unaamka asbh unakuta wameiba taa, sijui power window nk, kuja kuirudishia tena iingie road gharama, ni heri ninunue mkononi za mil7 mwisho hata wakiiba watajijua, na mradi inatembea mkoa to mkoa
Ha ha aisee wabongo nuksi sana, ni bora umeisemea nafsi yako. Na mimi nasema siwezi kununua gari used hapa bongo na huko show room! Unajua kwa nini...?
 
Kuna hako ka Noah hapo

29M
Screenshot_20230208-074532.jpg
 
Angalia hizo bei za magari hapo juu useme ziko sawa au zimekosewa


Mtu unakuwa mbishi hujawah kuingiza hata gar Moja bongo, unaish kwa kufuata story za vijiwen.

Pole sana
 
Upuuzi, sema wanaitaji kuwa makini na sio vinginevyo, nimeagiza magari 7 maishani mwangu, yote nimeuza na niliowauzia wanashukuru mpaka leo.

Nimenunua magari yaliyotumila ma 4 katika maisha yangu na sijajuta,

Cha muhimu:

  • Body zuri.
  • Spare zipo.
Sure....as long as body iko poa, sitaogopa kununua gari bovu. Hakuna ubovu wa gari usioweza kurekebishika aslong as una fundi mzuri na spare zinapatikana.

Ukiona unshaindwa kurekebisha gari kuwa zima ujue bado unauwezo wa kumudu gharama za gari. Tumia bolt
 
700k kwa bima ya gari..!!! Hela nyingi sana..!
Bima yako ya afya kwa mwaka utalipa kiasi gani!!?
Wingi wa kitu unaupimaje boss. Maana hapo ni umelipa Tsh 1944 kila siku unapotoka na gari ili ikipata ajali ulipwe pesa uliyonunulia gari.

Yaani chukulia una M20 kila siku lazima utembee nayo, sasa ili ukiipoteza uipate tena inatakiwa ulipe 1944 kwa siku ikitokea imepotea unapewa m20 ingine.
 
This is true 100% ila watu hawaelewi niliuzaga gari yangu baada ya kupata ajali bmw ilianza kunifirisi sijui aliyenunua ana hali gan [emoji23][emoji23][emoji23]
utakutana naye mbele za Mungu siku ya hukumu kwa sababu ya kukuficha ukweli 😀
 
Wingi wa kitu unaupimaje boss. Maana hapo ni umelipa Tsh 1944 kila siku unapotoka na gari ili ikipata ajali ulipwe pesa uliyonunulia gari.

Yaani chukulia una M20 kila siku lazima utembee nayo, sasa ili ukiipoteza uipate tena inatakiwa ulipe 1944 kwa siku ikitokea imepotea unapewa m20 ingine.
Gari kutembea inahitaji mafuta tuu..
Kulipia 700k kwa mafuta ni sawa.. Kitu certain.. Uhakika.. Probability 1..bila mafuta gari haiendi..
Ila Bima sababu ya kucover ajali sio kitu cha uhakika.. Inaweza kutokea na inaweza isitokee.. Why utumie 700k kwenye kitu cha probability..!!?
Unabet na stake ya 700k!

Nyingi ni zaidi ya 1..
Bima ya gari ikifika 200k ni nyingi..
Lipa 118k kwa ajili ya kutembea barabarani..

Gari yako usitegemee mtu mwingine kuitengeneza..!
Weka mtazamo huo..!
 
Back
Top Bottom