Usipende kununua magari yaliyotumika Tanzania

Usipende kununua magari yaliyotumika Tanzania

Nmenunua Gari ya Mtu mwaka wa 2 sasa hakuna cha usumbufu ni service za kawaida na huyo mtu simjui na anijui.
Hii nakupa tu ushauri wewe unayetaka kumiliki gari lako na lisikupe mawazo ya kuonana na mafundi Kila siku.

Asilimia 85 ya magari used Tanzania mmliki huuza kwa Sababu gari linamsumbua, asilimia.

Asilimia 10 tu huuza gari kwa Sababu ya changamoto za kimaisha.

Asilimia 5 tu ndiyo huuza gari Ili wanunue gari lingine.

Mbaya zaidi mbongo kusema ukwel ni dhambi kubwa kwake atakwambia hii gari ni kuwasha na kuondoka kumbe yeye anajua shida Iko wap hakwambii.

Ukifika huko unashangaa gar inamatatizo kibao

Nashauri ingiza gar Toka nje kidogo zinakuwa nzima japo ni used, usiogope ushuru kwa Sasa unalipika siyo kuhangaika na gari lililomshinda mwenzako.

Madalali watakuja hapa kupinga huu utafiti wangu lakini mimi Big thinker nimetimiza jukumu langu usije sema sikukwambia
 
Pole san mkuu , Hawa jamaa sijui wanakuwag na viini macho unawez kukagua gari siku iyo nzima usione tatzo baada ya miez 2 had 3 unaon tatzo fulan , yaan dah
Hahahahhaha nimeanza na kufurahi kidogo niliuziwa carina ya milioni tatu picha linaanza ina kelele kama kifaru cha vita huko congo alafu ndio gari langu la kwanza kumiliki na la kwanza kuendesha kama sio kujifunza ilikua balaa lile gari lilikua halili mafuta linabugia alafu halina nguvu ila mbwa yule dalali siku ya kuijaribu wee alikua anatoka nduki balaaa full kufukia mishimo kitu safi aliponiachia tu kesho yake nilizeeka ghafla mbona , nyie watu miongoni mwa stress kali ni kuwa na gari bovu yani unakua na hasira muda wote basi nikakomaa nalo dalali akaniblock likanilia vihela balaa bwana bwana si likaja kutulia full ac, mziki mkubwa, nikakutana na dalali nilikua najaza upepo bila aibu eti alaaah unaona nilikuambia utanishukuru tu kwa huo mchuma ,bahati nzuri huwa sirembi nikampa bonge wa mtusi huku namfata akaona naweza anzisha ukraine pale akala kona,ila wazee bure aghali we fikiria gari milioni tatu si kujitafutia presha huku na presha niliipata kweli[emoji23][emoji23]
 
Hakika, kinachotakiw usinunue Gari kwa mzuka ptia ptia mdogo mdogo na dalali asikuendesh kwenye maamuz hapa watu wengi wanakosea wanunua gari kwa influence ya dalali sio mtaalamu
Same to me..nilinunua gari kwa mtu mpk leo ni mwaka wa pili haijawahi kunisumbua

Sema mkuu tupo kundi la wale wenye bahati[emoji23]
 
Kuagiza gari nje siyo gharama kama watu wanavyozani


Tatizo lipo kwenye kuisubil hiyo gar ifike, uvumilivu unao!?

Ndiyo maana wengi wanaishia kwenda show room wanabeba na kuondoka


Lakin uliwah kujiuliza unayenunua gar showroom unampa faida kubwa kiasi gan muuzaji!!?

Agiza gari kijana acha uoga
Brother gari kutoka Japan Hadi DAR ni mwezi mmoja na wiki 1 au 2..
Sasa shida iko wapi mpaka ushindwe kusubiri? Au wenzetu magari yako yanapitia Russia na Ukraine
 
Kiufupi sikuhizi ushuru ni uwezo wa kulinunua hilo gari mara 2! Kama bei ya kulifikisha bandarini ni 6M basi andaa 6M ingine ya wakulungwa pale TRA.
Ila wakulungwa wanazingua, wanataka pasu kwa pasu wakati hawajachangia hata kufunga boriti kwenye gari. Iko haja wareview tena makodi yao.
 
0
Nimeweka 60% sababu brand new car kodi yake ni pungufu chini ya 100%
Ila haiwi 60% kwa TRA naowajua mimi, lazma wafyeke 80
Ila wakulungwa wanazingua, wanataka pasu kwa pasu wakati hawajachangia hata kufunga boriti kwenye gari. Iko haja wareview tena makodi yao.
Wakulungwa wanayumba kweli yani 🤣🤣🤣
 
Boss, ww ni mgeni sana kwenye mambo ya magari.

Watu kama nyie ndo wezi tena wezi sana mnajifanya mnajua kuhusu kununua gar mtandaoni kumbe ni kuibia watu iyo BMW ata ukiweka galama zote bado itafika kwa million 14
Garama za usafirishaji na galama za kodi na kodi ya uchakavu ivo huwa vinajulikana ukiingia tu ktk kikootoo cha TRA garama zote zko wazi
 
Watu kama nyie ndo wezi tena wezi sana mnajifanya mnajua kuhusu kununua gar mtandaoni kumbe ni kuibia watu iyo BMW ata ukiweka galama zote bado itafika kwa million 14
Garama za usafirishaji na galama za kodi na kodi ya uchakavu ivo huwa vinajulikana ukiingia tu ktk kikootoo cha TRA garama zote zko wazi
Huyo nimemwambia ni mgeni sababu ya kuignore CIF na kuangalia cost tu kwenye matangazo yake aliyopost. Halafu ww inaonekana una stress za kuibiwa sana. Huenda wamekuibia mno. Pole.
 
Sina Ndoto ya kuaguza gari nje wala nini, yaani nina hela zangu mkononi halafu nianze kusubiri gari miezi, nikifa wkt gari ipo njiani je!? Haya tufanye imefika nimetoa mil20 zangu gari siku ya kwanza tu unaamka asbh unakuta wameiba taa, sijui power window nk, kuja kuirudishia tena iingie road gharama, ni heri ninunue mkononi za mil7 mwisho hata wakiiba watajijua, na mradi inatembea mkoa to mkoa
 
Sina Ndoto ya kuaguza gari nje wala nini, yaani nina hela zangu mkononi halafu nianze kusubiri gari miezi, nikifa wkt gari ipo njiani je!? Haya tufanye imefika nimetoa mil20 zangu gari siku ya kwanza tu unaamka asbh unakuta wameiba taa, sijui power window nk, kuja kuirudishia tena iingie road gharama, ni heri ninunue mkononi za mil7 mwisho hata wakiiba watajijua, na mradi inatembea mkoa to mkoa
Hahaha ww sema haupo tayari kuspend 20m kwenye gari. Mambo ya kuibiwa insurance si zipo boss.
 
Hii nakupa tu ushauri wewe unayetaka kumiliki gari lako na lisikupe mawazo ya kuonana na mafundi Kila siku.

Asilimia 85 ya magari used Tanzania mmliki huuza kwa Sababu gari linamsumbua, asilimia.

Asilimia 10 tu huuza gari kwa Sababu ya changamoto za kimaisha.

Asilimia 5 tu ndiyo huuza gari Ili wanunue gari lingine.

Mbaya zaidi mbongo kusema ukwel ni dhambi kubwa kwake atakwambia hii gari ni kuwasha na kuondoka kumbe yeye anajua shida Iko wap hakwambii.

Ukifika huko unashangaa gar inamatatizo kibao

Nashauri ingiza gar Toka nje kidogo zinakuwa nzima japo ni used, usiogope ushuru kwa Sasa unalipika siyo kuhangaika na gari lililomshinda mwenzako.

Madalali watakuja hapa kupinga huu utafiti wangu lakini mimi Big thinker nimetimiza jukumu langu usije sema sikukwambia
Ni kweli kabisa maana gari huwezi kupata history yake kama gari ulilonunua nje, hizi gari used za wabongo haziaminiki na hasa umkute dalali mjanja utapigwa polish mpaka utalainika na utalinunua gari ki ulaini ngoja ufike nyumbani inaanza na kutoa moshi kama treni
 
Hii nakupa tu ushauri wewe unayetaka kumiliki gari lako na lisikupe mawazo ya kuonana na mafundi Kila siku.

Asilimia 85 ya magari used Tanzania mmliki huuza kwa Sababu gari linamsumbua, asilimia.

Asilimia 10 tu huuza gari kwa Sababu ya changamoto za kimaisha.

Asilimia 5 tu ndiyo huuza gari Ili wanunue gari lingine.

Mbaya zaidi mbongo kusema ukwel ni dhambi kubwa kwake atakwambia hii gari ni kuwasha na kuondoka kumbe yeye anajua shida Iko wap hakwambii.

Ukifika huko unashangaa gar inamatatizo kibao

Nashauri ingiza gar Toka nje kidogo zinakuwa nzima japo ni used, usiogope ushuru kwa Sasa unalipika siyo kuhangaika na gari lililomshinda mwenzako.

Madalali watakuja hapa kupinga huu utafiti wangu lakini mimi Big thinker nimetimiza jukumu langu usije sema sikukwambia
Mkuu ni kweli usemayo. Lakini tunanunua hapa bongo kwa sababu za kiuchumi. Hakuna mtu asietaka kumiliki litu kimeendeshwa na ngozi nyeupe.
 
Hahahahhaha nimeanza na kufurahi kidogo niliuziwa carina ya milioni tatu picha linaanza ina kelele kama kifaru cha vita huko congo alafu ndio gari langu la kwanza kumiliki na la kwanza kuendesha kama sio kujifunza ilikua balaa lile gari lilikua halili mafuta linabugia alafu halina nguvu ila mbwa yule dalali siku ya kuijaribu wee alikua anatoka nduki balaaa full kufukia mishimo kitu safi aliponiachia tu kesho yake nilizeeka ghafla mbona , nyie watu miongoni mwa stress kali ni kuwa na gari bovu yani unakua na hasira muda wote basi nikakomaa nalo dalali akaniblock likanilia vihela balaa bwana bwana si likaja kutulia full ac, mziki mkubwa, nikakutana na dalali nilikua najaza upepo bila aibu eti alaaah unaona nilikuambia utanishukuru tu kwa huo mchuma ,bahati nzuri huwa sirembi nikampa bonge wa mtusi huku namfata akaona naweza anzisha ukraine pale akala kona,ila wazee bure aghali we fikiria gari milioni tatu si kujitafutia presha huku na presha niliipata kweli😂😂
Ilikuwa na shida gani?
 
Back
Top Bottom