Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Shukran mkuu kwa kuacknowladgeHii ndiyo comment Bora kwenye mada yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran mkuu kwa kuacknowladgeHii ndiyo comment Bora kwenye mada yako
HahahaView attachment 2507659
Mzigo huo hapo. Unanusa tu mafuta, haumjui fundi huo.
Full ac, tairi mpya kabisa.
Unawasha na kuondoka. Njoo na jiwe 3 ya kulungwa😃😃
Hahahaha 😆😆😅😅 sometimes kama hujui kitu ni Bora ukae kimya Tu..
Milioni 6.7 mpaka bandarini. Ukilipa na ushuru ni 12 to 13m hilo.
Brother ni $4000 sio mil 4
Hakuna gari ya millioni moja. Usafiri pekee ni zaidi ya millioni. Ukiweka kodi za kawaida na ile ya uchakavu unajikuta unalipa siyo chini ya millioni 10.Unamaanisha hii gari utatumia milioni 1 kuagiza Toka Japan au ushuru?
Acha kuangalia cost tu. Angalia C&F.
Bei hiyo ni bila kodi na usafirishaji au pamoja usafirishaji na kodi za TRABrother ni $4000 sio mil 4
Hizo ni mil 10
Angalia total price
Bado ushuru
Boss, ww ni mgeni sana kwenye mambo ya magari.
Unawajuwa TRA?
Hata kwa Sossy Magari hupati Bmw kwa bei hiyo 4M..!
Una bei gani boss gari ipo nzima kabisaNatafuta crown used
Hio ni CIF. Kuileta hadi bandariBei hiyo ni bila kodi na usafirishaji au pamoja usafirishaji na kodi za TRA