Mimi nadhani mtu nunua gari unalolijua. Ukishindwa sana nunua kwa mwenye tatizo la kifedha mfano mikopo, fedha ya matibabu au ada ya shule/chuo.
Ukishindwa sana nenda car wash au Bar utapata tu chuma nzuri
Ina engine gani hii Allion?Sio kwerie Gari angalia body tuu engine na vipuli viko kibao pale ilala mwak jna nilinunuag allion yangu safiii namba C body ilikuwa imenyook balaaaa kwa 7M ndo gari yangu ya kwanza kumiliki nilifanya service ya laki 3 oil nikaweka Castrol filter mpyaaa plugs Og air cleaner mpyaa nikaweka na Spencer gari ikawa juu mpka Leo naenjoy mm n mafuta tuuu gari aijawai nisumbua Wala kuwasha cjui chek engine nazingatia oil uendeshaj mzuri road trip ndo zangu kiukwer naenjoy
Car wash na bar unapataje gari?Mimi nadhani mtu nunua gari unalolijua. Ukishindwa sana nunua kwa mwenye tatizo la kifedha mfano mikopo, fedha ya matibabu au ada ya shule/chuo.
Ukishindwa sana nenda car wash au Bar utapata tu chuma nzuri
Mkuu uko sahihi, subaru Impreza imenipa stress mpaka nimekoma.Crown athlete unaipendea nn??
Kwa hz barabara zetu za mitaan hapa bongo siwez kununua sedan vehicle hata sku moja. Yaan bongo ukiacha tu bara bara kuu tayari unakutana na barabara ina makorongo knoma
Isukume mkuu.Mkuu uko sahihi, subaru Impreza imenipa stress mpaka nimekoma.
Mafundi wanatudanganya sana kuna mwanamke fundi wake wa mchongo alimdanganya kinoma gari ikawa inachemka tu alikuja kuokolewa na ndg yake ilimgharimu zaidi ya mil 1.3 kuiweka sawa, kwahiyo wanawake ni watunzaji lkn kwa kutojua mambo ya magari wanadanganywa sana huko gereji na shida moja sie ke tunahadaika na body ya gari, ndani seat urembo mziki nk sio engine na mengineyona aara nyingi muuzaji gari atakwambia ilikua inatumiwa na mwanamke(wanawake wanasifa ya utunzaji magari)
Gari ya mwanamke Body inakuwa nzima ilaa Gari sio body aiseeee.. engine..gear box weka system zingine za ndani ndo muhimu zaidi. Gari used bongo ni kubet ila mimi nilinunua hapa hapa miaka 2 sasa sijawahi pata shida kubwa kabisaa.Mafundi wanatudanganya sana kuna mwanamke fundi wake wa mchongo alimdanganya kinoma gari ikawa inachemka tu alikuja kuokolewa na ndg yake ilimgharimu zaidi ya mil 1.3 kuiweka sawa, kwahiyo wanawake ni watunzaji lkn kwa kutojua mambo ya magari wanadanganywa sana huko gereji na shida moja sie ke tunahadaika na body ya gari, ndani seat urembo mziki nk sio engine na mengineyo
Mbona karibu 70% ya gari nzuri zinauzwa hayo maeneo Mkuu. Kama una chuma kimenyooka jua kila ukienda nayo bar au car wash kuna watu wawili wanauliza ''Hii chuma imenyooka sana, haiuzwi kwelii?'' sasa siku wewe mwambie anayeiosha kuwa unaiuza, hutaamini yajayo.Car wash na bar unapataje gari?
Wahuni wanasema chuma kilichokaza hakitafutwi, unakutana nacho tu.Gari ya mwanamke Body inakuwa nzima ilaa Gari sio body aiseeee.. engine..gear box weka system zingine za ndani ndo muhimu zaidi. Gari used bongo ni kubet ila mimi nilinunua hapa hapa miaka 2 sasa sijawahi pata shida kubwa kabisaa.
MzKuu hata showroom n mimba now days umeshawaza yale mashow riom kinondon mnabadikishana gariyako anakupa mpya ati unaongeza kidogo tu unajua yanaendaga wapi??Hii nakupa tu ushauri wewe unayetaka kumiliki gari lako na lisikupe mawazo ya kuonana na mafundi Kila siku.
Asilimia 85 ya magari used Tanzania mmliki huuza kwa Sababu gari linamsumbua, asilimia.
Asilimia 10 tu huuza gari kwa Sababu ya changamoto za kimaisha.
Asilimia 5 tu ndiyo huuza gari Ili wanunue gari lingine.
Mbaya zaidi mbongo kusema ukwel ni dhambi kubwa kwake atakwambia hii gari ni kuwasha na kuondoka kumbe yeye anajua shida Iko wap hakwambii.
Ukifika huko unashangaa gar inamatatizo kibao
Nashauri ingiza gar Toka nje kidogo zinakuwa nzima japo ni used, usiogope ushuru kwa Sasa unalipika siyo kuhangaika na gari lililomshinda mwenzako.
Madalali watakuja hapa kupinga huu utafiti wangu lakini mimi Big thinker nimetimiza jukumu langu usije sema sikukwambia
Ndo nilichomaanisha gari za wanawake nzima nje ndani mabovu labda ukute ana mwanaume anaemjali yani matengenezo yafanyike chini ya uangalizi wa mwanaume, (mume kaka, rafiki nk)Gari ya mwanamke Body inakuwa nzima ilaa Gari sio body aiseeee.. engine..gear box weka system zingine za ndani ndo muhimu zaidi. Gari used bongo ni kubet ila mimi nilinunua hapa hapa miaka 2 sasa sijawahi pata shida kubwa kabisaa.
Nakubaliana na wewe 100.Gari ikiwa na bodi nzuri hata kama limepauka.Na chini kukawa poa.Hata kama injini ni mbovu Unanunua mswaki unaweka biashara imeisha.Mkuu mbona unawatisha wenzako gari ya mkononi ukiitaka ilinyooka mbona unapata.
1. Kikubwa gari ni body iwe imenyooka na haijaguswa hata kurudiwa rangi.
2. Angalia uvunguni km gari iko mma na haijaoza chini safi.
Siku zote gari ikipita kwenye hayo mambo mawili asilimia 80 hiyo gari nzima.
La mwisho Fundi mzuri angalie mengine than unabeba gari.