Usipende kuwa mtazamaji wa chombo kimoja cha habari, utapotoshwa vibaya mno

Usipende kuwa mtazamaji wa chombo kimoja cha habari, utapotoshwa vibaya mno

Kipindi nakuwa enzi za primary, seko hadi chuo nilikuwa mtazamji bora wa CNN na BBC.

Lakini sikujua kuwa vyombo hivi vimekaa kimlengwa zaidi, yani vinakupa habari zile wanaziona wao ndio muhimu katika itikadi yao huku wakiwa wana-criticize wasio na itikadi kama zao.

Na nilihabarika kupitia CNN na BBC kwa uhakika hadi hapo Trump alipokuja kugombea uraisi na kushinda uchaguzi. CNN walinifanikisha kufanya nimchukie Trump ila kwa baadae sasa nikawa nashangaa inakuwaje CNN wanampinga Trump kiasi hiki na kumtetea Hillary to the maximum.

Ndio nilipofanya uchunguzi nikagundua kuwa CNN ni chombo cha habari chenye mrengwa wa kushoto ama liberals ama woke ama far-left.

CNN na BBC kama mrengwa wa kushoto ndio wanao-promote haki za utoaji mimba, uhamiaji usio na mipaka, kubadirisha jinsia watoto, haki za mashoga na wasagaji, pro-palestine, etc

Ila Trump aliingia madarakani na
alifanya vizuri sana na sera zake nilizikubali sana.

Hii ni guide ya baadhi ya vyombo vya habari na itikadi zao.

CNN: Mrengwa wa kushoto,
BBC: Mrengwa wa kushoto
FOX: Mrengwa wa kulia
Al Jazeera: Mrengwa kushoto usio wa mbali, pro-Radicalism, pro-palestine

Chombo cha habari maarufu kisichokuwa na mrengwa ni REUTERS

Samahi mkuu, hivi Mrengwa ni neno la kiswahili? maana hii lugha yetu inatambaa na kukua kwa kasi sana. Nielekeze mkuu maana ya neno hilo nimejikuta natoka kwenye mada kwa kutatizwa na hilo neno.
 
Pia kama umegundua taarifa ya habari imekuwa kama addiction kwenye vichwa vya watu, kila ikifika saa mbili usiku nyumba nyingi unakuta wanaangalia taarifa ya habari.


Huu ni mfano sahihi wa MIND CONTROL
ITV ndio imezowesha watu taarifa ys habari saa mbili na mpaka leo tv station inayoangaliwa na watu wengi taarifa ya habari ya saa mbili ni ITV, siyo swala la mind control.

Niliondoka Bongo nikiwa kijana mdogo kufika ughaibuni nimeingia super market ya mtaani kununuwa mkate nauliza blue band iko shelf gani hawanielewi kabisa blue band ndio nini, na by that time sijui kwamba blue band ni brand name tu lakini product ni margarine, ndivyo tulivyo wabongo shoeshine tunajuwa ni Kiwi na dawa ya meno ni colgate.
 
Samahi mkuu, hivi Mrengwa ni neno la kiswahili? maana hii lugha yetu inatambaa na kukua kwa kasi sana. Nielekekeze mkuu maana ya neno hilo nimejikuta natoka kwenye mada kwa kutatizwa na hilo neno.
Ndio mkuu ni either mlengwa au mrengwa, ukurya wangu nashindwa wa kujua ipi ni ipi
 
Samahi mkuu, hivi Mrengwa ni neno la kiswahili? maana hii lugha yetu inatambaa na kukua kwa kasi sana. Nielekeze mkuu maana ya neno hilo nimejikuta natoka kwenye mada kwa kutatizwa na hilo neno.
Ni mrengo.
 
DW is the best soud mnette akikuhoji anapiga msumali kabisa kama alivomfanyia msigwa, Babu Abdallah hivo hivo, yule dada anayeripoti kutoka zanzibar siyo mnafiki kabisa, hata huyu kutoka dodoma alikuwa RFA ni mwamba
 
ITV ndio imezowesha watu taarifa ys habari saa mbili na mpaka leo tv station inayoangaliwa na watu wengi taarifa ya habari ya saa mbili ni ITV, siyo swala la mind control.

Niliondoka Bongo nikiwa kijana mdogo kufika ughaibuni nimeingia super market ya mtaani kununuwa mkate nauliza blue band iko shelf gani hawanielewi kabisa blue band ndio nini, na by that time sijui kwamba blue band ni brand name tu lakini product ni margarine, ndivyo tulivyo wabongo shoeshine tunajuwa ni Kiwi na dawa ya meno ni colgate.
Unajua maana ya Mind control?

kukariri kama taarifa ya habari lazima iwe ya itv ni mfano wa hilo.

The best way of mind control is repitition.
 
Msisahau kuangalia pia Press TV Iran, huko utajua jinsi tunavyomshushia kipondo Israeli
 
Ukiamua fatilia habari angalia vituo vyote vile.
Aljazeera ukiwaangalia na maigizo yao ya Gaza unacheka sana
 
Hahhaha
ITV ndio imezowesha watu taarifa ys habari saa mbili na mpaka leo tv station inayoangaliwa na watu wengi taarifa ya habari ya saa mbili ni ITV, siyo swala la mind control.

Niliondoka Bongo nikiwa kijana mdogo kufika ughaibuni nimeingia super market ya mtaani kununuwa mkate nauliza blue band iko shelf gani hawanielewi kabisa blue band ndio nini, na by that time sijui kwamba blue band ni brand name tu lakini product ni margarine, ndivyo tulivyo wabongo shoeshine tunajuwa ni Kiwi na dawa ya meno ni colgate.
 
ITV ndio imezowesha watu taarifa ys habari saa mbili na mpaka leo tv station inayoangaliwa na watu wengi taarifa ya habari ya saa mbili ni ITV, siyo swala la mind control.

Niliondoka Bongo nikiwa kijana mdogo kufika ughaibuni nimeingia super market ya mtaani kununuwa mkate nauliza blue band iko shelf gani hawanielewi kabisa blue band ndio nini, na by that time sijui kwamba blue band ni brand name tu lakini product ni margarine, ndivyo tulivyo wabongo shoeshine tunajuwa ni Kiwi na dawa ya meno ni colgate.
Na sheli ni kituo cha mafuta😄
 
Ukiamua fatilia habari angalia vituo vyote vile.
Aljazeera ukiwaangalia na maigizo yao ya Gaza unacheka sana
Hahah sana eti unakuta wanahoji mawaziri wa hamas na wanawapatia data za uharibifu na vifo .

Tangulini fisi akamsaidia mbogo kuvuka maji
 
Unajua maana ya Mind control?

kukariri kama taarifa ya habari lazima iwe ya itv ni mfano wa hilo.

The best way of mind control is repitition.
Sikubaliani na wewe, Tanzania hatukuwa na tv station countrywide zaidi ya ITV.

Mimi nilikuwa na satelite dish kitambo naangalia station za Kenya na Uarabuni lakini ITV ilikuwa unique ndio inakupa taarifa za ndani.

Mind control ni ile mengi kutumika pale ccm ilipoona inakwenda kushindwa uchaguzi ITV ilitumika kuwatisha Watanzania na matukio ya vita ya Rwanda kana kwamba ccm ikipigwa chini nchi itaingia vitani.
 
Back
Top Bottom