Mwakawasila
Member
- Oct 23, 2024
- 23
- 20
Ninaandaa mpango wangu WA BIASHARA Kisha naanza kuifanya baada ya kuona Sina kiwango Cha kutosha
Natangaza watu wanao WEZA kudhamini BIASHARA yangu Kwa makubaliano ya kugawana faida
Kwa hiyo kutokana na kwamba namimi nimeweka mtaji namimi nakuwa mmiliki wa kampuni
Na nakuwa na Baadhi ya haki mfano kuhudhuria kwenye mikutano
Kutoa mapendekezo ya wapi mkutano unafanyika
Kujua kampuni unaendeshwaje
Hicho kitu ndiyo tunaiita HISA
Mfano CRDB inamilikiwa na wanahisa Kwa Kila mtu na kiwango chake
Soko letu Kwa Tanzania linaitwa DSE(Dar es salaam Stock Exchange)
Hili soko tunauziana fedha
Halina utofauti na masoko mengine kama karia koo
Ukiwa tu na uwezo wa kumudu HISA 10 unaruhusiwa kumiliki KAMPUNI na utaitwa MWANAHISA/MBIA
Mfano Leo HISA ya CRDB ilikuwa 670
Hisa kumi unachukua 670×10=6700
NMB ni 5350
Hisa kumi ni 5300×10=53500
TBL ni 10400
Hisa kumi ni 104000
Naimani umepata kitu
Bila shaka umepata kitu
Tutaenderea kesho kwanini ni muhimu kujua hii elimu ya HISA
Mwakawasila
0744980339
Natangaza watu wanao WEZA kudhamini BIASHARA yangu Kwa makubaliano ya kugawana faida
Kwa hiyo kutokana na kwamba namimi nimeweka mtaji namimi nakuwa mmiliki wa kampuni
Na nakuwa na Baadhi ya haki mfano kuhudhuria kwenye mikutano
Kutoa mapendekezo ya wapi mkutano unafanyika
Kujua kampuni unaendeshwaje
Hicho kitu ndiyo tunaiita HISA
Mfano CRDB inamilikiwa na wanahisa Kwa Kila mtu na kiwango chake
Soko letu Kwa Tanzania linaitwa DSE(Dar es salaam Stock Exchange)
Hili soko tunauziana fedha
Halina utofauti na masoko mengine kama karia koo
Ukiwa tu na uwezo wa kumudu HISA 10 unaruhusiwa kumiliki KAMPUNI na utaitwa MWANAHISA/MBIA
Mfano Leo HISA ya CRDB ilikuwa 670
Hisa kumi unachukua 670×10=6700
NMB ni 5350
Hisa kumi ni 5300×10=53500
TBL ni 10400
Hisa kumi ni 104000
Naimani umepata kitu
Bila shaka umepata kitu
Tutaenderea kesho kwanini ni muhimu kujua hii elimu ya HISA
Mwakawasila
0744980339