Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Peleka haya mambo jukwaa la vichekesho.-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi
Mengine mtaendeleza nyie
Jiwe la gizaniMm mchiriku nasikiliza mpaka uzeeni Mungu akijaalia.
Kuheshimiwa au kujiheshimu inategemea na lifestyle yako
-- kuhadithia movie za akina kanumba.-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi
Mengine mtaendeleza nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]-kuvaa visendo vya manyoya na kibegi mgongoni
WazunguKumwaga nini
Ndio nn sasa?Jiwe la gizani
Wala hata mie sio fashionista, ila zkusema tu kuhusu hivo wahusika ndo wanajibu hivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila shaka hili ni jiwe gizani[emoji3][emoji3] pole dear fashionista! Kuna kadada kwenye daladala kamevaa hiyo jeans haina sehemu za mapaja kabisa khaa hizi swagger bana wanawake wa mikoani tunapata tabu sana kuelewa[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]-kuvaa visendo vya manyoya na kibegi mgongoni