Usipokuwa makini hivi vitu vitakushushia heshima

Usipokuwa makini hivi vitu vitakushushia heshima

-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi

Mengine mtaendeleza nyie
Peleka haya mambo jukwaa la vichekesho.
 
-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi

Mengine mtaendeleza nyie
-- kuhadithia movie za akina kanumba.
-- kuvaa suruali ya kitambaa ndani umevaa bukta.
_ kuweka makaramu( makalamu) mengi mfuko wa shati.
-- kuvaa T-shirt lenye mapicha picha.
-- mkanda wa bakoz ni upi?
Hebu fafanuwa hyo heshima utaivunja vipi?
 
Bila shaka hili ni jiwe gizani[emoji3][emoji3] pole dear fashionista! Kuna kadada kwenye daladala kamevaa hiyo jeans haina sehemu za mapaja kabisa khaa hizi swagger bana wanawake wa mikoani tunapata tabu sana kuelewa[emoji3]
Wala hata mie sio fashionista, ila zkusema tu kuhusu hivo wahusika ndo wanajibu hivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom