Usipokuwa makini hivi vitu vitakushushia heshima

Usipokuwa makini hivi vitu vitakushushia heshima

-KUWA MFUASI WA CCM
Nakuunga mkono kabisa, huku nilipo wafuasi wa CCM wanaonekana walia njaa tu. Wakipita ni watu wa kawaida sana sana mtaani. Sijui kwanini wakipita chadema wana ka heshima fulani hivi.
 
Bila shaka hili ni jiwe gizani[emoji3][emoji3] pole dear fashionista! Kuna kadada kwenye daladala kamevaa hiyo jeans haina sehemu za mapaja kabisa khaa hizi swagger bana wanawake wa mikoani tunapata tabu sana kuelewa[emoji3]
Hujashika paja? Oooh kumbe wewe ni bidada! Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi [emoji22][emoji22]
 
Kumtongoza mtoto mdogo, hii inakuwa umekalia kuti kavu.
 
-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi

Mengine mtaendeleza nyie
Kufuatilia maisha ya watu
 
Back
Top Bottom