Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Ungesema ualimu wa shule za serekali, private kuna tunao pokea 2.8 mpak 3m kwa mwenzi usafiri upo, namkopa mpaka 70m unakopeshwa, nyumba tulisha jenga tena sio mikoani jijini......Hii kazi ina mshahara mdogo sana. Ni pesa ambayo bodaboda wanapata kwa wiki mbili au tatu. Acha tu, mungu wasaidie walimu wanaishi maisha ya ajabu sana, Kila mwaka madarasa yanajengwa ila huwez kukuta nyumba za walimu zinajengwa
Madarasa ya vioo na tiles Ila nyumba za walimu mbovu sakafu imekwisha ni vumbi nyumba nzima afu madirisha ya mbao [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hongera kwa kuwatetea walimu.Hii kazi ina mshahara mdogo sana. Ni pesa ambayo bodaboda wanapata kwa wiki mbili au tatu. Acha tu, mungu wasaidie walimu wanaishi maisha ya ajabu sana, Kila mwaka madarasa yanajengwa ila huwez kukuta nyumba za walimu zinajengwa
Madarasa ya vioo na tiles Ila nyumba za walimu mbovu sakafu imekwisha ni vumbi nyumba nzima afu madirisha ya mbao ππππ
Wewe jamaa unafananisha wa Sasa na wazamani tena Kule kijijini kwenu.walimu wa leo wanajenga hawasubiri kuishi kwenye nyumba za serikali.mishahara yao Iko juu,access za mikopo nje nje.wewe unawachukia walimu kwa vile walikuchapa sana kwa sababu ni kilala.WAACHE WALIMU WETU WACHAPE KAZIHii kazi ina mshahara mdogo sana. Ni pesa ambayo bodaboda wanapata kwa wiki mbili au tatu. Acha tu, mungu wasaidie walimu wanaishi maisha ya ajabu sana, Kila mwaka madarasa yanajengwa ila huwez kukuta nyumba za walimu zinajengwa
Madarasa ya vioo na tiles Ila nyumba za walimu mbovu sakafu imekwisha ni vumbi nyumba nzima afu madirisha ya mbao ππππ
Ualimu kwa nchi za wenzetu ni noble professional (teaching is the mother of all proffesional) lkn,kwa Bongo ualimu ni kazi inayofanywa na watu wa hovyo,watu wasiokuwa na akili hata za kuweza kujisaidia!Ungesema ualimu wa shule za serekali, private kuna tunao pokea 2.8 mpak 3m kwa mwenzi usafiri upo, namkopa mpaka 70m unakopeshwa, nyumba tulisha jenga tena sio mikoani jijini......