Usipokuwa Rais huwezi kuwa Mwenyekiti wa CCM!!??

Ni utamaduni wa CCM

Na Rais anapomaliza mihula miwili humleta yule anayemwamini amrithi
Ni janja ya CCM kutaka ati dola ndo iwe kiongozi wa chama chao.

Katiba mpya ndiyo dawa yao hawa jamaa, Tanganyika si mali yao binafsi ya hiki kikundi kidogo.
 
Ndo tunacho taka,chama kimuwajibishe pia mwana CCM mwenzao pale anapo fanya tofaut na matakwa ya wananchi.
 
Kwa ivo tuna mfumo dhaifu (Fragile) dhaifu wa siasa zetu.
Precisely..
Na hujakosea Kabisa..
Kwanza hatuna Mfumo wa Accountability hata Kidogo..
Alwayz Viongozi wanaamini Mkubwa huwa Hakosei na akikosea Ni haki yake Kusamehewa Akiomba Msamaha ila Mdogo hukosea na Akikosea Msamaha wake lazima apewe masharti..

Kwahyo ni Vigumu kumpa Cheo cha Mwenyekiti Mtu mwingine..
Sababu Akikosea Mnakuwa wakubwa Wawili na hicho hawakitaki
 
Ndo tunacho taka,chama kimuwajibishe pia mwana CCM mwenzao pale anapo fanya tofaut na matakwa ya wananchi.
TUkifika kwenye Hatua Hii Nitafurahi sana..
But Unfortunately Sasa Hivi chama Kinatetea Viongozi hata wakifanya Makosa...

Siku hizi kuna Slogan kama "Alikuwa Anatania", 'Ulimi uliteleza", "Alikosea" ila hakuna hata sehemu moja Chama kitamuwajibisha zaidi ya Kuunda Tume, Vijana na Machawa wa Kumsafisha..Tooo Bad
 
Kabisa Mkuu. Lakini wenzetu South Africa wameweza. ANC ina nguvu ya kumuwajibisha Rais wao, Maana mwenyekiti wa chama cha ANC siyo RAIS
 
Na mfumo huo ndo umefanya wahafidhina, ndani ya taifa hili kuona taifa kama mali yao binafsi na vizazi vyao.

Lakini chama cha kikomonisti cha china na Vietnam ni tofauti na hiki chama Cha mboga mboga.
 
Hili jambo la Rais wa nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama,baadhi ya viongozi makini wa bara hili walikataa mfano ni Nelson Mandela,lakini viongozi waliokuwa waroho wa madaraka, walilipenda hili.Ndio maana taifa lilikuwa bize kujenga ofisi za chama kila kijiji kuliko shule na ujenzi wa Viwanja vya mpira kila makao makuu ya mkoa kuliko vyuo vya Kati.
 
Kabisa Mkuu. Lakini wenzetu South Africa wameweza. ANC ina nguvu ya kumuwajibisha Rais wao, Maana mwenyekiti wa chama cha ANC siyo RAIS
Nelson Mandela alikuwa Mwalimu bora,katika kuleta balance of power,sababu mwanadamu hasa ngozi nyeusi ina ubinafsi wa kiwango kisicho Cha kawaida,hili lilimfanya kutenganisha hizo nafasi mbili,sababu hakuwa mroho wa madaraka au kujiona yeye bora kuliko wengine.
 
Rtd Brigedia Kinana amewahi kuwa na Fikra Za kutenganisha kofia Za Urais na Uenyekiti wa Chama ili chama kiweze kuisimamia na kuiwajibisha serikali inapokengekeuka..Sina hakika ikiwa bado anaamini ktk hili🔗
 
Hii hofu ya kutokuheshimiana chanzo chake ni kugeuza siasa ndiyo chanzo cha utajri.

Kama watu wangekuwa wanafanya siasa nje ya maslahi ya kifedha, mambo ya kuogopa kupinduana yasingekuwepo!!
 
Ingetikiswa na nani maana ilikua enzi ya chama kimoja
Ni kweli. Lakini unajua sababu yake?

Halmashauri Kuu ya CCM ilikuja na hoja ya "ujenzi wa chama" ambapo ilisemwa Mwalimu angeondoka ghafla CCM ingetikiswa.

Kwa ivo Mwalimu alichelewa kuondoka ili amalize Program ya Ujenzi wa chama.
eti
 
Ingetikiswa na nani maana ilikua enzi ya chama kimoja

eti
Kulikuwa kuna upepo wa mabadiliko unavuma Afrika nzima.

Ndiyo maana kwetu mwaka 1992 tukarudisha mfumo wa vyama vingi.
 
wanakula kijamaa ila wanaishi Kibepari!
 
Kumbuka kwamba CHAMA kinashika HATAMU, jee unajuwa maana ya HATAMU?
ukishajuwa maana ya hilo neno utaelewa ni kwanini Raisi wa Jamhuri lazima awe mwekiti .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…