Usipokuwa Rais huwezi kuwa Mwenyekiti wa CCM!!??

Usipokuwa Rais huwezi kuwa Mwenyekiti wa CCM!!??

Kumbuka kwamba CHAMA kinashika HATAMU, jee unajuwa maana ya HATAMU?
ukishajuwa maana ya hilo neno utaelewa ni kwanini Raisi wa Jamhuri lazima awe mwekiti .....
Hatamu ama lijamu...?? Zama za chama kushika hatamu siyo hizi!

Hapa sema chama kimeshika utamu.
 
Back
Top Bottom